Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Hata mwandulami alikuwa tajiri sanaOf Course, yule mdingi alikua vizuri
Yeye kutibu mtu hata bure alikuwa anafanya hivyo. Sema ndo hivyo wema hawadumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mwandulami alikuwa tajiri sanaOf Course, yule mdingi alikua vizuri
Ni kweli,huyo mzee mara nyingi nikimpa hela alikua tu anasema "kijana wangu hifadhi hiyo,siku wakija watoto wa madrasa hapa upigwe kisomo ndo uwape soda na mpunga km sadaka yako inatosha"Hata mwandulami alikuwa tajiri sana
Yeye kutibu mtu hata bure alikuwa anafanya hivyo. Sema ndo hivyo wema hawadumu
Yule bibi MANINJA wa Liwale (ngende) bado yupo hai? Nilimsikia miaka 20 iliyopitaKama upo series kabisaa.
Panda basi nenda hapo Liwale, kuna kijiji kinaitwa Ngende.
Mkuu unavyomuona imma atavaa viatu vya mzee ipasavyo kweli??Ni kweli,huyo mzee mara nyingi nikimpa hela alikua tu anasema "kijana wangu hifadhi hiyo,siku wakija watoto wa madrasa hapa upigwe kisomo ndo uwape soda na mpunga km sadaka yako inatosha"
Upite Moro hapaWeek hii ntaenda iringa kwa mwandulami marehemu nikijaliwa...
Mniombee nifike salama.
Au aje Simiyu aende kijiji kimoja kinaitwa Bubale kuna mganga/waganga wa jadi hatari sana hilo eneo/kijijiNjoo hpa simiyu Longa Lombogo hautachajiwa hela, hela utaleta mwenyewe baadae ukishaona matokeo
Acha kujipendekeza we kiazi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa aibu kabadili ID kaja DM kuomba connection
Akikuelekeza ni pm na Mimi aiseeMkuu kama hili ni la kweli nisaidie muongozo wa kufika
Ungeandika tu kwa urefu wengine wapate maarifaUkiwa na nafasi nicheki.
na kama uko mwanza basi itakuwa rahisi.
Sina mengi ya kuongea
Huyo kwa msisi nami namhitaji.Utatoa shukrani gani ili nikuunganishe na mganga konki! Yuko Kwa Msisi Tanga! Yaani hata ukitaka kumgeuza mtu kuwa nyoka, anageuka! Ukitaka kumuweka kwenye chupa, ni dakika 0 tu.
Sharti ni kutakiwa tu kutoa hiyo shukrani isiyo na hiyana, kabla ya kuunganishwa.
Connection tasavaliKuna sehemu moja kule korogwe vijijini inaitwa Kwalukonge,kwa wale wanaoifahamu njia ya kaskazini basi unaingilia pale ilipokua hotel maarufu Liverpool...kwa mbali kuna mlima..sasa nyuma ya ule mlima kuna vijiji huko kuna wazee wana kufuru sana.
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma kuna jamaa yangu mmoja alikuja akataka asindikizwe huko kwa madai amedhulumiwa kwenye biashara yake ya madini..anyway kupunguza maneno mengi kufika kule yule mtaalam wala hakua na maneno mengi...aliuliza tu unatakaje? Kilichofuata ndio niliamini kuna dunia zaidi ya hii tunayoijua...hizi habari zisikie tu..ila kuna wazee wanajua..nakumbuka wakati tunarudi jamaa njiani anapigiwa simu anapewa taarifa kuhusu mbaya wake..
Mchepuko tu ndo unataka kutoa mtu roho? huyo dada naye alitongozwa tu kama wewe
Mi nipe mrejesho tu unayemloga kashafika huku kupata kinga konki.
Ukidunda hata Jf hurudi tutasimuliwa.