Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafanya kazi Kwa muhindi private sector mkuu elimu ni degreeUpo kwenye gani ipi na una ujuzi gani? Pia elimu yako. Ni ngumu kupata msaada iwapo taarifa hizo muhimu (na zingine za msingi katika CV yako) hazifahamiki
Hakuna mganga kweliHakunagq
Sawa mkuu, best of luckNafanya kazi Kwa muhindi private sector mkuu elimu ni degree
NdioHakuna mganga kweli
We give wanafanikiwaje jmn ...Kwa kipindi hiki nitumie mbinu gani nipate kaziNdio
Fanya biasharaWe give wanafanikiwaje jmn ...Kwa kipindi hiki nitumie mbinu gani nipate kazi
InsuranceUmesoma kozi gan?
Sio kiwandani mkuuuKiwanda kinazalisha nn??
Biashara hapana niliwahi kufanya biashara ikanishindaFanya biashara
mm kuna kima kajipendekeza ijumaa naenda zanzibar. Mwambieni kayakanyaga...... kayamunyaAcha na kulipiza kisasi...
Usipigane vita ni ya Bwana Mungu...
Ukipigana anatulia, ukitulia anapigana...
Mkabidhi YESU yote...
wamakonde wanga sanaDah,umenikumbusha mkuu,nilikuwepo hapo ngende majuzi tu.kweli hapafai.
mkuu na mm naweza kupata?Panda gari za njombe...shuka wangama ni kabla ya kufika njombe mjini. Utakutana na kijana anaitwa imma mtoto wa mwandulami.
Bora tu usionee mtu. Kama umeonewa atakupeleka mahali utanena yoote ambayo unataka mbaya wako ayapitie ...
Baada ya muda kweli kama umeonewa utayaona mengi sana yakiyokea.
Namba ya imma nitakupatia ukihitaji.
Ila dhambi yako nisiulizwe.
Kuna muda unaonewa hadi unatamani ufe
NdioUmedhamiria?