Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,357
Private military training ni ugaidi mkuu! [emoji32][emoji32][emoji32]
Una maana gani kusema hivyo?, vijana wote wa six waliopota jeshini JKT nao ni magaidi? Sijui KJT ya siku hizi, ya zamani ya mwaka kisha miezi sita ukitoka ni Askari kamili,
vpi kuhusu wanaocheza mgambo? si wengi tu wapo mtaani? wako mtaani na wako vizuri kwenye taaluma za kijeshi