Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia porini au vijiji vya ndani pia mafuta shamba mpandie Miti ambayo hadi anamaliza mizunguko atakuwa na asset ya kutosha kuwasaidia wadogo zake leo usipo kuwapo. Kuna jamaa alifanya hilo kimasihala leo anahekari 40 za pines, na anasema iko tayari kuvunwa ila hataki sasa, akikupigia mahesabu ni millions pale. Unaweza kupanda hata Korosho kusini, Au miembe etc. maoni tu...mkuu, asante sana kwa ushauri mzuri. nitaufanyia kazi...dogo amesoma B.A- Economics. kwa kuwa ni first born, bado anao wadogo zake ambao bado ni wadogo. kama mzazi nili-discuss naye na mama yake pia. niliweza ku-share naye risk zilizopo na faida pia na aina ya mtu atakuwa kwenye jamii. Malengo ni kupata course ya kijeshi isiyopungua miezi 9. harafu afanye kazi hata mwaka mmoja kama private military contractor( at least 1 year) . baada ya hapo arudi kwenye kufanya kazi ya taaluma yake(Uchumi) kwa muda usiopungua miaka 2. then aache kazi kwa ajili ya kuanzisha miradi yake mwenyewe. akifikia hapo, nitam-release rasmi aanze kujitegemea. (Haya ndo makubaliano na maono ya Familia)...bless up
Hivi huwa tunasoma bandiko kutoka kulia kuja kushoto hama kushoto kuja kulia?Kwanza eleza sababu za ww kutaka kitu hicho kwa maana mafuzo ya kijeshi yapo ya aina mbili
1 Mafunzo ya ukakamavu (military training)
2 Mafuzo ya Elimu ya kijeshi na utambuzi (Military intelligence)
Ww unataka yapi na pia kwa matumizi gani?
Good idea mkuu.... angalizo langu ni kuwa mali zinaisha ila ujuzi atabaki nao. issue ya pine inalipa hasa in long run, na soko likiwa ni china na Europe. Thanks once againIngia porini au vijiji vya ndani pia mafuta shamba mpandie Miti ambayo hadi anamaliza mizunguko atakuwa na asset ya kutosha kuwasaidia wadogo zake leo usipo kuwapo. Kuna jamaa alifanya hilo kimasihala leo anahekari 40 za pines, na anasema iko tayari kuvunwa ila hataki sasa, akikupigia mahesabu ni millions pale. Unaweza kupanda hata Korosho kusini, Au miembe etc. maoni tu...
sawa mkuu, tumekusikiaNnyinyi ndio mnaoyusumbua huko mkuranga.
Kwa hiyo ile show ya Kibabe aliyokuwa anasimamia Mh. Lwakatare ya kikundi cha usalama cha viongozi na mali za Chama cha Chadema ilikuwa ni nini!? Chadema wana kikundi rasmi na kinatambulika kama 'red briged', walikuwa wanatoa mafunzo nadhani anayoyataka mleta mada. Kifupi, hiyo training ipo nadhani nchini.Si Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda wala Burundi ambako kuna Private Military Academies kama utakavyo Wewe. Nchi nyingi za Kiafrika Usalama wake ni mdogo hivyo Viongozi wengi ( namaanisha ) Marais wake huwa hawaruhusu ' Private Training ' kama hiyo kuwepo kwa hofu kubwa tu kwamba huenda siku moja hizo ' Njemba ' zilizofunzwa privately ' Medani ' za Kivita wanaweza ' wakawapindua '. Kwa wenzetu nchi zilizoendelea ( namaanisha Ulaya ) ambazo zimeshakomaa sana ' Kidemokrasia ' wao wanavyo hivi Vyuo binafsi na Watu huenda ' kujifunza '
Kwa kukusaidia tu na kukurahishia Kazi Mkuu nakuomba jitahidi umpeleke Mwanao huyo JKT kisha huko atafunzwa na kupikwa vizuri sana na si ajabu huenda Mwanao akionekana yupo vizuri Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) linaweza kumchukua ili aweze pia kulitumikia na kuilinda nchi yake nzuri ya Tanzania.
Hata hivyo nikushauri tu kwamba usimpeleke Mwanao huko kwa kumlazimisha kwani hutopata unachotaka Yeye akipate na utakuwa unapoteza rasilimali zako na muda wake isipokuwa kama huyo Mwanao kweli unaona ana mapenzi ya mambo ya Kijeshi basi wahi haraka sana ' kamtupe ' huko JKT ' Wanamume ' wamemtengeneze ili hata akirudi Kwako uweze kumsahau kidogo kisha uanze kujivunia kuwa sasa una Jembe la ' Kutukuka ' katika Familia yako.
Kila la kheri.
mkuu, hata mimi ndo bado natafuta chuo ambacho kinaweza kukithi mahitaji hayo...Mkuu mm nataka hiyo ya military intelligence naomba maelezo yake plz naweza pata wapi?
mweh, sasa huo si ugaidi? kwa faida ya wengi tuwekee hapa hiyo manual ili wote tufaidi...Tafuta Masjid moja huko kibiti ongea na imamu tatizo lako litakua limetatuliwa... Kwa kukusaidia nikutumie manual(HOW TO SURVIVE IN THE WEST) inayo fundisha kutengeneza Mabomu aina zote, detonators zote na risasi.
[emoji23] [emoji2] nimecheka san mkuuNnyinyi ndio mnaoyusumbua huko mkuranga.
mweh, sasa huo si ugaidi? kwa faida ya wengi tuwekee hapa hiyo manual ili wote tufaidi...
mweh, sasa huo si ugaidi? kwa faida ya wengi tuwekee hapa hiyo manual ili wote tufaidi...
Yupo mtoto wa mama yangu mdogo, baba yake alichungulia fursa ya ajira za mtu mwenye sifa kama anazotaka mleta uzi. Akafanya kila jitihada mtoto huyo akaenda kufanya military training JKT kwa miezi tisa. Baada ya kuhitimu, hawakusubiri ajira za majeshi yetu, akarudi nyumbani. Baada kama ya miezi miwili hvi, akapata ajira uarabuni, kwa sasa body guard wa mwana mfalme.Kweli watu tuna maitaji tofauti,mtoto wako kamaliza chuo unataka kumpeleka JKT? Na sio kumuingiza mtaani akatafute pesa?
Aseee We mtu hatari sana!! sio kwa PDF hiziHapana si ugaidi ni sehemu ya kujielimisha akitumia kuumiza wengine hiyo taaluma ndio utakua ugaidi.
Kama wananchi lazima tue na knowledge ya mambo haya.
Binafsi imenipa uelewa mkubwa juu ya mambo ya military.
NB:KNOWLEDGE UTAYO IPATA KWENYE HIZO FILE USIITUMIE
KUUMIZA WASIO NA HATIA.
Documents zingine siwezi weka ni highly classified.
Hamna kiongozi elimu ni bahariAseee We mtu hatari sana!! sio kwa PDF hizi