Natafuta mji mtulivu wa kwenda kupumzika kwa mwezi mmoja

Natafuta mji mtulivu wa kwenda kupumzika kwa mwezi mmoja

We jamaa sio mtu mzuri hata kidogo. Naona una nia ovu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
😂😂 Kwani hakufai pale Miami au tumpeleke kwenye kash kash vurugu muda wote kumwagana ubongo dk zero tu Detroit 😂
 
Umofia kwenu wakuu!

Ambao mna uzoefu mkubwa na maeneo (miji midogo) ya nchi hii. Naomba ushauri au mapendekezo, ni mji gani mdogo naweza kwenda kukaa kwa muda wa mwezi mmoja (brain recharging)

Uwe ni mji mdogo, uliotulia kwa mandhari na hali ya hewa, ambao jioni naweza enjoy evening walk, uwe ni mji salama, na wenye vyakula vizuri vya asili, kwa mfanano mzuri think of somewhere like Lushoto (Lushoto ndio kwetu so don't mention)

Binafsi nimewaza kwenda Tarakea Rombo, lakini naona ni vyema nipate mawazo kwa wadau. N.B, iwe ni sehemu yenye nyumba za wageni ambazo ni classic.
Asanteni.
View attachment 1412207
Usituletee Corona mkuu baki huko huko!
 
aisee wahi Marangu kabla hawajazuia kutoka na kuingia Dar!
Ukishindwa basi njoo huku Sinza nikuonyeshe "mahandaki" unajifungia hadi unasahau kama umeacha dunia nje!ila acc yako ya benki isiwe kwenye card au mobile banking usije ukala hadi ada za watoto😂
 
Umofia kwenu wakuu!

Ambao mna uzoefu mkubwa na maeneo (miji midogo) ya nchi hii. Naomba ushauri au mapendekezo, ni mji gani mdogo naweza kwenda kukaa kwa muda wa mwezi mmoja (brain recharging)

Uwe ni mji mdogo, uliotulia kwa mandhari na hali ya hewa, ambao jioni naweza enjoy evening walk, uwe ni mji salama, na wenye vyakula vizuri vya asili, kwa mfanano mzuri think of somewhere like Lushoto (Lushoto ndio kwetu so don't mention)

Binafsi nimewaza kwenda Tarakea Rombo, lakini naona ni vyema nipate mawazo kwa wadau. N.B, iwe ni sehemu yenye nyumba za wageni ambazo ni classic.
Asanteni.
View attachment 1412207
halafu Satoshi Nakamoto na umuofia wapi na wapi bhana!...ulitakiwa uje hapa na Konichiwaaa...😎
 
Mkuu usihangaike na kujichosha kwa safari ndeeefu. Njoo tu hapa kwetu Msoga utafurahi wewe!
 
Back
Top Bottom