kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Njoo peramiho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bukoba pako poa sana mkuu chakula cha asili mpaka chips wanatengeneza kwa mayai ya kienyeji samaki fresh kabisa. Nyama choma kuku wa kienyeji na bei yake ni rafiki pia kuna hotel na lodge nzuri bei poa hari ya hewa na beach fresh, Pia ni wakarimu boda boda mpaka 500. Usalama unaweza kutembea kwa mguu mpaka asubuhi na usikutane kibaka wala jambazi kama alivosema mdau hapo juu. Nitarudi tena BukobaUmofia kwenu wakuu!
Ambao mna uzoefu mkubwa na maeneo (miji midogo) ya nchi hii. Naomba ushauri au mapendekezo, ni mji gani mdogo naweza kwenda kukaa kwa muda wa mwezi mmoja (brain recharging)
Uwe ni mji mdogo, uliotulia kwa mandhari na hali ya hewa, ambao jioni naweza enjoy evening walk, uwe ni mji salama, na wenye vyakula vizuri vya asili, kwa mfanano mzuri think of somewhere like Lushoto (Lushoto ndio kwetu so don't mention)
Binafsi nimewaza kwenda Tarakea Rombo, lakini naona ni vyema nipate mawazo kwa wadau. N.B, iwe ni sehemu yenye nyumba za wageni ambazo ni classic.
Asanteni.
View attachment 1412207
Ushawahi Kula chips za mayai ya kienyeji na kupanda bodaboda jero?
Vipi kuhusu totoz mkuu??
Kwasababu kupumzika kuna mengine yanajitokezaga ya ziada!
Kama totoz zipo basi hata Mimi nitaenda bukoba korona ikiisha
Hapa ni kaitaba na gymkhana bukoba.
Hali ya hewa sio jua wala baridi na mvua za hapa na pale
View attachment 1413758View attachment 1413759
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeeeecheeekaaaa eti boda boda jeroUshawahi Kula chips za mayai ya kienyeji na kupanda bodaboda jero?
Hapa ni kaitaba na gymkhana bukoba.
Hali ya hewa sio jua wala baridi na mvua za hapa na pale
View attachment 1413758View attachment 1413759
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashangaa nini.ndo maana route nyingi za daladala mjini bukoba zimestop Kwa sababu ya bodaboda.
Mkuu Himo pale jua kali Sana na joto la kutisha utafikiri uko kwenye Jangwa la Kalahari, pia kuna harufu chafu sana throughout the year inayotoka kwenye kiwanda cha ngozi cha Woisso. Himo hapafai hata kwa nukta moja bora Marangu...japo kwa mujibu wa mleta Uzi sehemu inayomfaa kwa mtazamo wangu ni BukobaMkuu nenda moshi eneo linaitwa HIMO. nikuzuri sana..nimeenda Mara nyingi..utafurahi..pia MARANGU kuzuri itafurahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata usicheke ndugu ule mjini ni mzuri mno japo watu wengi hawaufahamu, hata uteremke stend SAA saba usiku unaweza kushangazwa na bei za bodaboda, mfno sehemu ambapo ungepelekwa hata kwa elf tano au saba utashangaa unaambiwa book moja au mia tano na ukienda mbali sana utashangaa haizidi elf moja na mia tano. Bukoba niliipenda sana kuliko sehemu yoyote hapa Tanzania, changamoto ya mji wa Bukoba ni kwamba hadi mjini katikati lugha ya Kihaya inatumika sana, Wahaya wanapenda sana lugha yao na wala hawana tabia ya kuongeaongea kiswahili km sehemu nyingine. Nadhan wanaweza kuwa ndo kabila pekee hapa Tanzania linalo tumia kilugha kuliko kabila lolote hapa nchini.
Hii Bukoba lazima ni nzuri,kila mtu anaizungumzia. Tatizo ni km 1000+ from Dar na utalii wa ndani unanoga kuendeshaBukoba pako poa sana mkuu chakula cha asili mpaka chips wanatengeneza kwa mayai ya kienyeji samaki fresh kabisa. Nyama choma kuku wa kienyeji na bei yake ni rafiki pia kuna hotel na lodge nzuri bei poa hari ya hewa na beach fresh, Pia ni wakarimu boda boda mpaka 500. Usalama unaweza kutembea kwa mguu mpaka asubuhi na usikutane kibaka wala jambazi kama alivosema mdau hapo juu. Nitarudi tena Bukoba
Daah itabidi namimi nifike hapa......Ushawahi Kula chips za mayai ya kienyeji na kupanda bodaboda jero?
Hapa ni kaitaba na gymkhana bukoba.
Hali ya hewa sio jua wala baridi na mvua za hapa na pale
View attachment 1413758View attachment 1413759
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa gani ipo?Au aje Nyalikungu,,Ni pazuri na patulivu sana
SimiyuMkoa gani ipo?
Sio mchezo utaenjoy sema kutoka dar ni safari kweli ila kama una private car utafanya utalii wa ndani mana unapita mikoa kama 6 Pwani,Morogoro,Dodoma,Singida,Tabora,Shinyanga,Geita then ndo Kagera yenyewe.Hii Bukoba lazima ni nzuri,kila mtu anaizungumzia. Tatizo ni km 1000+ from Dar na utalii wa ndani unanoga kuendesha
Ni kweli ilianzia bukoba wakiiga kutoka Uganda na safari mpaka ya karibu km 6 ni jeroUnashangaa nini.ndo maana route nyingi za daladala mjini bukoba zimestop Kwa sababu ya bodaboda.
Unaweza hata kwenda 5km Kwa jero mfano mjini kashai,mjini rwamishenye, mjini migera bodaboda huwa ni jero.
NB. Biashara ya bodaboda Kwa tz imeanzia bukoba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli wanapenda kuongea lugha yao.Hata usicheke ndugu ule mjini ni mzuri mno japo watu wengi hawaufahamu, hata uteremke stend SAA saba usiku unaweza kushangazwa na bei za bodaboda, mfno sehemu ambapo ungepelekwa hata kwa elf tano au saba utashangaa unaambiwa book moja au mia tano na ukienda mbali sana utashangaa haizidi elf moja na mia tano. Bukoba niliipenda sana kuliko sehemu yoyote hapa Tanzania, changamoto ya mji wa Bukoba ni kwamba hadi mjini katikati lugha ya Kihaya inatumika sana, Wahaya wanapenda sana lugha yao na wala hawana tabia ya kuongeaongea kiswahili km sehemu nyingine. Nadhan wanaweza kuwa ndo kabila pekee hapa Tanzania linalo tumia kilugha kuliko kabila lolote hapa nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
We mzee unampoteza mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23] mwambie aje Miami hapoMakambako hutojuta
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk