Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Njoo Durban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.Naunga mkono hoja ule mji hauna heka heka plus kuna sehemu kibao za evening walk.
Huwa napenda pia kwenda kuna beach hotel mbili napenda kushinda hapo.
Wish nitume picha nikiwa hapo [emoji12]
Wishes zimekuwa nyingi sasa. Emu tuma tuone labda na sisi tutakuwa inspiredBukoba club pale kuku wa kuchoma balaaa kiroyera nyingine nimeisahau beach hotel.
Plus anaweza kuvuka maji akaenda kutalii.
Halafu Bukoba raha sana ukiwa na laki tu Don wewe, msosi sasa hadi raha.
Eyce i wish nitume picha nikiwa huko.
I really enjoyed the place.
Naipenda ile sehemu. B
Kibaha maisha ni ghaliNenda Kibaha.
Sio shamba sio mjini
hivi kondoa kuna historical sites? itabidi nifike aiseeKondoa
Sheikh wangu utafaidi vingi sana ikiwemo ufundi wa mungu
Michoro ya mapangoni
Tourism attractive zngne
jaribu kwenda Pemba mkuuUmofia kwenu wakuu!
Ambao mna uzoefu mkubwa na maeneo (miji midogo) ya nchi hii. Naomba ushauri au mapendekezo, ni mji gani mdogo naweza kwenda kukaa kwa muda wa mwezi mmoja (brain recharging)
Uwe ni mji mdogo, uliotulia kwa mandhari na hali ya hewa, ambao jioni naweza enjoy evening walk, uwe ni mji salama, na wenye vyakula vizuri vya asili, kwa mfanano mzuri think of somewhere like Lushoto (Lushoto ndio kwetu so don't mention)
Binafsi nimewaza kwenda Tarakea Rombo, lakini naona ni vyema nipate mawazo kwa wadau. N.B, iwe ni sehemu yenye nyumba za wageni ambazo ni classic.
Asanteni.
View attachment 1412207
Asubuhi umesema nisi ku quote. Mbona wewe wanquoti?Kibaha maisha ni ghali
nina mpango wa kuja south.wewe mwenyeji huko?Njoo Durban
Ila mabinti sio historical. Ni wa kileo leohivi kondoa kuna historical sites? itabidi nifike aisee
Hutaniwi mkuuAsubuhi umesema nisi ku quote. Mbona wewe wanquoti?
[emoji31][emoji3][emoji31][emoji3][emoji31]Ila mabinti sio historical. Ni wa kileo leo
Tanga mjini?
Bukoba club pale kuku wa kuchoma balaaa kiroyera nyingine nimeisahau beach hotel.
Plus anaweza kuvuka maji akaenda kutalii.
Halafu Bukoba raha sana ukiwa na laki tu Don wewe, msosi sasa hadi raha.
Eyce i wish nitume picha nikiwa huko.
I really enjoyed the place.
Naipenda ile sehemu. B
Hawauzi mtungi pale.Nenda Cape Verde Zanzibar hautajuta baba....