Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
ntaenda kufanya uchunguziIla mabinti sio historical. Ni wa kileo leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ntaenda kufanya uchunguziIla mabinti sio historical. Ni wa kileo leo
Nilikua napata supu hapa Runzewe. Together we standHutaniwi mkuu
Nenda Bukoba utafurahi maisha kuna beach nzuri sana zenye mvuto was kipekee, kuna Bunena Beach, beach ya asili yenye mawe mazuri sana, unakaa juu ya maweza unausikilizia upepo mwanana kutoka ziwa Victoria hakuna kelele wala nini, vilevile kuna beach ya Kiloyera in nzuri hakuna mfano, kuna beach ya Bukoba Club hakika huu mji unapendeza sana. Alafu mjini katikati hamna cha foleni wala nini vyakula vya asili vipo vya kutosha na gharama ni za kawaida sana. Binafsi hayo mazingira niliyapenda sana zaidi ule mji una amani na usalama kuliko miji yote niliyowahi kutembelea hapa Tanzania. Bukoba na viunga vyake hata usiku wa manane unatembea bila shida yoyote ile. Tatizo wanapenda sana kuongea kihaya kuliko lugha yoyote ile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu Kyela sehemu ipo ziwa nyasa inaitwa Matema beach,alafu unaibukia tukuyu mara moja moja.You won't regreat.Umofia kwenu wakuu!
Ambao mna uzoefu mkubwa na maeneo (miji midogo) ya nchi hii. Naomba ushauri au mapendekezo, ni mji gani mdogo naweza kwenda kukaa kwa muda wa mwezi mmoja (brain recharging)
Uwe ni mji mdogo, uliotulia kwa mandhari na hali ya hewa, ambao jioni naweza enjoy evening walk, uwe ni mji salama, na wenye vyakula vizuri vya asili, kwa mfanano mzuri think of somewhere like Lushoto (Lushoto ndio kwetu so don't mention)
Binafsi nimewaza kwenda Tarakea Rombo, lakini naona ni vyema nipate mawazo kwa wadau. N.B, iwe ni sehemu yenye nyumba za wageni ambazo ni classic.
Asanteni.
View attachment 1412207
Tarakea sidhani kama ni sehemu nzuri sana. Marangu ni nzuri kuliko Tarakea.Kweli, nilikua natamani sana niende Loitokitoki (km chache kutoka Tarakea upande wa Kenya) ila kwa hii Corona imebidi niwaze Tarakea tu.
😆😆😆