Natafuta mji mtulivu wa kwenda kupumzika kwa mwezi mmoja

Natafuta mji mtulivu wa kwenda kupumzika kwa mwezi mmoja

Kwa mimi napendekeza bukoba na kigoma..kusema ukweli ni miji iliyotulia sana..hakuna vurugu kama dsm..hali ya hewa safi..chakula cha kutosha beach nzuri..i wish nihamiage uko kimaisha..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umofia kwenu wakuu!

Ambao mna uzoefu mkubwa na maeneo (miji midogo) ya nchi hii. Naomba ushauri au mapendekezo, ni mji gani mdogo naweza kwenda kukaa kwa muda wa mwezi mmoja (brain recharging)

Uwe ni mji mdogo, uliotulia kwa mandhari na hali ya hewa, ambao jioni naweza enjoy evening walk, uwe ni mji salama, na wenye vyakula vizuri vya asili, kwa mfanano mzuri think of somewhere like Lushoto (Lushoto ndio kwetu so don't mention)

Binafsi nimewaza kwenda Tarakea Rombo, lakini naona ni vyema nipate mawazo kwa wadau. N.B, iwe ni sehemu yenye nyumba za wageni ambazo ni classic.
Asanteni.
View attachment 1412207

Pitia uzi huo chini kuangalia mahali na vivutio vingi ambavyo unaweza kuchagua kwenda kutembelea.

Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hutojuta kukaa kwenye mji huu.

Kadiri ya vigezo vyako bukoba inakufaa sana
14.jpeg
images%20(6).jpeg
images%20(5).jpeg
images%20(2).jpeg
73393195_437205490314849_5209754226983228266_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au aje Nyalikungu,,Ni pazuri na patulivu sana
 
Back
Top Bottom