Natafuta mji mtulivu wa kwenda kupumzika kwa mwezi mmoja

We jamaa sio mtu mzuri hata kidogo. Naona una nia ovu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwani hakufai pale Miami au tumpeleke kwenye kash kash vurugu muda wote kumwagana ubongo dk zero tu Detroit πŸ˜‚
 
Usituletee Corona mkuu baki huko huko!
 
aisee wahi Marangu kabla hawajazuia kutoka na kuingia Dar!
Ukishindwa basi njoo huku Sinza nikuonyeshe "mahandaki" unajifungia hadi unasahau kama umeacha dunia nje!ila acc yako ya benki isiwe kwenye card au mobile banking usije ukala hadi ada za watotoπŸ˜‚
 
halafu Satoshi Nakamoto na umuofia wapi na wapi bhana!...ulitakiwa uje hapa na Konichiwaaa...😎
 
Mkuu usihangaike na kujichosha kwa safari ndeeefu. Njoo tu hapa kwetu Msoga utafurahi wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…