Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ukiwa unatafuta mwenza jioneshe ni tajiri.Tumia mbinu hiyo utanishukuru uzeeni.na ugumu wa maisha wa kila uchwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa unatafuta mwenza jioneshe ni tajiri.Tumia mbinu hiyo utanishukuru uzeeni.na ugumu wa maisha wa kila uchwao
Nazungumzia kale ka kakifaa kanakotunaga kwa nyuma katika kijola,.sio mkia tu hadi mapembe anayo
Barabarani hapa.Ujanja kufika kwa usalama.Heeee mbona unamuovertake mwenzio weyee
Umenifanya nicheke kwa sautiBarabarani hapa.Ujanja kufika kwa usalama.
Siwezagi hiyo kituUkiwa unatafuta mwenza jioneshe ni tajiri.Tumia mbinu hiyo utanishukuru uzeeni.
Cheka hivyohivyo.Mimi nachukua mtoto Eve E!Umenifanya nicheke kwa sauti
AyaCheka hivyohivyo.Mimi nachikua mtoto Eve E!
anacho lakn pia ni muathirika zaman alikuwa mneng'uajiNazungumzia kale ka kakifaa kanakotunaga kwa nyuma katika kijola,.
Usiwe na shida ya kupunguza uwezekano wako wa kupata mke anayekufaa, wewe unaweza kufungwa kizazi kwa kufanyiwa operation ndogo sana inayoitwa VASECTOMY.Umri unaniacha sana. Nahitaji mke sasa, asiwe na mtoto hata mmoja. Akiwa na tatizo la kizazi itapendeza zaidi.
Kama una ndugu au jamaa yako mwambie, hii ni kama fursa pia kwa wadada wasiyozaa.
Najua kuwa kuna wadada hawana kizazi na wamejikatia tamaa ya kuwa katika ndoa, hamjachelewa natafuta mwanamke wa aina hiyo. Kama ni wewe au una ndugu yako aje.
Kuhusu umri, Awe tu kijana mwenye uwezo wa kufanya kazi za nyumbani kwa ueredi,.
sio jokes nipo siliasi.
Sana mkuu...nani anataka story za kulipa ada mara mtoto kawa shoga au mtoto katiwa mimba na bodaboda.Kumbe tupo wengi ee?
Kwanini asifunge kizazi tu!! Atakuwa na wigo mpana zaidi kuchagua. Wanawake waliotolewa vizazi au waliopoteza kabisa matumaini na uwezo wa kuzaa sio wengi.Nakuombea upate hitaji la moyo wako .. Nawaombea wenye uhitaji wa ndoa ya namna hiyo pia
Miyeyusho tuu wacha niendelee kula bata. Uzazi kwa sasa mgumu sana na ukiongeza na umalaya wangu. Nitamtesa tuu huyo mtoto na mama yake.Kuzaa umeghairi mkuu
Huyo atanifaa mie yaani nikupelekeana moto tuuKuna kamoja kapo ukerewe huko kazuri ila ni maharage ya mbeya,afu umri bado hata 25 hakajafika,sina namba yake lakin
Sijui kwanini wanawake wengi wasio zaa wanapendaga kugegedwa sana,sjawah kuona aliekituliza
Hii operation nitakujaga niifanye nianze kula wanafunziKwanini asifunge kizazi tu!! Atakuwa na wigo mpana zaidi kuchagua. Wanawake waliotolewa vizazi au waliopoteza kabisa matumaini na uwezo wa kuzaa sio wengi.
Hii bonge ya akili mwanawane umenipa. Yaani unakula mbususu mupya mupya wee ni kukojolea ndani tuu🤣🤣🤣🤣Hii operation nitakujaga niifanye nianze kula wanafunzi
Yaani wewe ni kama Mimi ki mawazoSana mkuu...nani anataka story za kulipa ada mara mtoto kawa shoga au mtoto katiwa mimba na bodaboda.
Mie nataka mrembo aje tugegedane tuu tuenjoy life.
Haina madhara hiyo operation?Usiwe na shida ya kupunguza uwezekano wako wa kupata mke anayekufaa, wewe unaweza kufungwa kizazi kwa kufanyiwa operation ndogo sana inayoitwa VASECTOMY.
Baada ya hapo unaoa mwanamke yeyote atakayekuelewa kuwa huhitaji na huna uwezo wa kuzalisha.
Kutafuta mwanamke atakayekufaa, aliyetolewa kizazi ni kazi ngumu zaidi.
Em nitumie hako ka picha kake kwanzaanacho lakn pia ni muathirika zaman alikuwa mneng'uaji