Anatafuta wa kumtibuWewe unataka mke au unataka daktari?
Utakula mabuti mpaka uchanganikiweMimi natafuta mke awe mwanajeshi. Akiwa mwanamedani itapendeza kabisa.
Cc docta financial servies
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jirani yangu mmoja,mme ameachiwa alee watoto mke yuko Sudan
Mkuu nenda kawavizie wanachuo wa mwaka wa mwisho;bugando,kcmc,muhimbili n.k
Wewe unataka mke au unataka daktari?
Mimi natafuta mke awe mwanajeshi. Akiwa mwanamedani itapendeza kabisa.
Cc docta financial servies
Sent using Jamii Forums mobile app