Natafuta mke daktari

Natafuta mke daktari

Acha uongo bhana
We kubali tu umechanganya mambo

Hata hivyo kuwa na IDs nyingi sio dhambi
alaaaaahh kumbe wewe ndio joanah wa jamii forum eeehhh!!!!.

habar zako kupitia wadau humu huwa nazisoma sana tena wale wazito wazito au matembo,sijui huwa unafawanya nini tu-wewe mdada na nilizanigi siku hz haupogo humu kutokana na ustaar wako kumbe upo aisee na really joanah exist.

hili ni bonge moja la zari.

ila tu nitumie fursa hii kukushukuru tu kwa ku-comment-comment yangu maana wewe ki jf jf ndio ALIKIBA wetu hvyo sio masihara,wengine wanaitafuta nafasi hii wanaikosa.

alafu siku nyingine usirudie kuniita me muongo,

kwa heshima yako narudia kusema kwamba hizo ni account mbili zinazotumiwa na watu wawili tofauti na si mmoja.

alafu hv umaarufu wako humu JF-naomba unijuze kama hautajali ni ulitokana??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alaaaaahh kumbe wewe ndio joanah wa jamii forum eeehhh!!!!.

habar zako kupitia wadau humu huwa nazisoma sana tena wale wazito wazito au matembo,sijui huwa unafawanya nini tu-wewe mdada na nilizanigi siku hz haupogo humu kutokana na ustaar wako kumbe upo aisee na really joanah exist.

hili ni bonge moja la zari.

ila tu nitumie fursa hii kukushukuru tu kwa ku-comment-comment yangu maana wewe ki jf jf ndio ALIKIBA wetu hvyo sio masihara,wengine wanaitafuta nafasi hii wanaikosa.

alafu siku nyingine usirudie kuniita me muongo,

kwa heshima yako narudia kusema kwamba hizo ni account mbili zinazotumiwa na watu wawili tofauti na si mmoja.

alafu hv umaarufu wako humu JF-naomba unijuze kama hautajali ni ulitokana??

Sent using Jamii Forums mobile app

Umenikosea sana kunifananisha na Ali Kiba
 
Fanya haya..

Jitahidi upate gonjwa lolote hatari la kudumu..
( Lakn lisiwe Ngoma )

hudhuria clinic kila wakati. Siku / Week / mwezi

Tafuta dokta wa kike kwa msaada na ushauri wa kila wakati.

Jenga mazoea na huyo dokta..

Mtongoze..

Kisha njoo unishukuru..
 
Fanya haya..

Jitahidi upate gonjwa lolote hatari la kudumu..
( Lakn lisiwe Ngoma )

hudhuria clinic kila wakati. Siku / Week / mwezi

Tafuta dokta wa kike kwa msaada na ushauri wa kila wakati.

Jenga mazoea na huyo dokta..

Mtongoze..

Kisha njoo unishukuru..

Asante - ikishindikana hapa nitafanyia kazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom