Natafuta mke huku chit chat..napokea maombi..

Natafuta mke huku chit chat..napokea maombi..

baada ya mchujo mkali na kulazimika kila mara kusogeza mbele niseme sasa natangaza top three
kesho natangaza mshindi.........

hawa wamefika top three...haikuwa kazi rahisi kwa kweli
caven dish TATIANA Eshy m.s ....... sasa stay tuned kesho namtangaza mtoto ..mbebes wa ukweli

Loh!! Siamini kweli The Boss hata mimi sipo? Jinsi ninavyokumaindigi.........hope next time huenda nikawa na vigezo
 
Last edited by a moderator:
okay very soon.....tunamaliza hili zoezi...it was very long kwa kweli...
 
Mke wangu kaunga haji huku chit chat..sasa nikija huku nakosa huduma ..sasa Nimeona niongeze mke wa huku chit chat tu...nakaribisha maombi now..nibebe mzigo..

Ukitafuta mke wa huku, ubaki naye huku huku. Nisikuone wala hicho kikaragosi chako nyumba kubwa MMU, na majukwaa mengine yote yanayoonekana kila unaposearch new posts. Uchochoroni ndio kunakufaaeni.

Fixed Point, snowhite na wengine wanamonitor every move you will be making.

Halafu, gari inahitaji kubadikishwa mataili.
 
Last edited by a moderator:
Ukitafuta mke wa huku, ubaki naye huku huku. Nisikuone wala hicho kikaragosi chako nyumba kubwa MMU, na majukwaa mengine yote yanayoonekana kila unaposearch new posts. Uchochoroni ndio kunakufaaeni.

Fixed Point, snowhite na wengine wanamonitor every move you will be making.

Halafu, gari inahitaji kubadikishwa mataili.

Dah hizi fitna za Fixed Point hizi..umerudi lini babe?
 
Last edited by a moderator:
Don't beibei me wakati wansaliti hadharani. You know ntakavokufanya usiku. Ile unakaribia tu nakupaisha halafu naikwepa! Umeniudhi sana ujue.

sweetheart punguza kusafiri...yote yasingetokea haya.......
 
Umebambwa! Poleee

BTW am flattered kuwepo kwenye tatu bora, awww plus that song you dedicated nausikiliza since yesterday, it is my 'official' song now, hapa nilipo natafuta audio CD, nautafuta kwenye simu alimradi tu niwe nao all the time...


good for you girl......
namsubiri TATIANA na Eshy m.s tumalize shindano haraka kabla fitna hazijaongezeka
stay tuned....leo hii hii.....
wife nampeleka vacation na watoto kesho.....bahamas.....atakuwa fine
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom