Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
usisingizie safari........sweetheart punguza kusafiri...yote yasingetokea haya.......
ina maana na yeye huko anakosafiria atafute mume wa pili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usisingizie safari........sweetheart punguza kusafiri...yote yasingetokea haya.......
Jana nilishindwa baada ya kutumiwa maombi tele pm.......hata hivyo wa pm nimewa disqualify....so leo ntamtangaza mshindi hapa hapa stay tuned
Mke wangu kaunga haji huku chit chat..sasa nikija huku nakosa huduma ..sasa Nimeona niongeze mke wa huku chit chat tu...nakaribisha maombi now..nibebe mzigo..
yaani world cup ime interrupt zoezi... but sasa leo ndo mwisho mkae tayari msindi anatajwa leo
Bila shaka timu uliyokuwa unashabikia wakati unapost ilikuwa imefungwa!!!
haujaweka address mbona nataka nitume maombi
we ni mke wangu halali..maombi ya nini?
maombi ya kazi mume wanguwe ni mke wangu halali..maombi ya nini?
haum... nini malizialabda haum......
Astaghfirulahi!! Zama zetu ni mwanaume ndiye anayetuma maombi tena kwa kutumia mshenga na kibahasha chake mkononi kimefungwa Leso kwa Pini huyo kiguu na njia mpaka kwa wazazi wa mwanamke, leo yamekuwa haya tena ya mabinti kutuma maombi wenyewe!!
Hata ule wimbo wa Mubaraka Mwinshehe "Mshenga" hauna maana tena!!
Kaunga na boss hapo ndoa hakuna tena!!
labda haum......
Mshindi wa shindano letu ni caven dish my new beautiful onyinye....world cup ikiisha tutafanya party special. TATIANA naendelea na interview na wewe kuna ki position ntakutafutia. Bantu lady wifi yako huyo....