Natafuta mke huku chit chat..napokea maombi..

Natafuta mke huku chit chat..napokea maombi..

good for you girl......
namsubiri TATIANA na Eshy m.s tumalize shindano haraka kabla fitna hazijaongezeka
stay tuned....leo hii hii.....
wife nampeleka vacation na watoto kesho.....bahamas.....atakuwa fine

aiseee siamini kama nimeingia tatu bora! ok ngoja nisubiri sijui mie ndo mshindiii! mmmh!....
 
Last edited by a moderator:
yaani world cup ime interrupt zoezi... but sasa leo ndo mwisho mkae tayari msindi anatajwa leo
 
Astaghfirulahi!! Zama zetu ni mwanaume ndiye anayetuma maombi tena kwa kutumia mshenga na kibahasha chake mkononi kimefungwa Leso kwa Pini huyo kiguu na njia mpaka kwa wazazi wa mwanamke, leo yamekuwa haya tena ya mabinti kutuma maombi wenyewe!!

Hata ule wimbo wa Mubaraka Mwinshehe "Mshenga" hauna maana tena!!


Kaunga na boss hapo ndoa hakuna tena!!
 
Astaghfirulahi!! Zama zetu ni mwanaume ndiye anayetuma maombi tena kwa kutumia mshenga na kibahasha chake mkononi kimefungwa Leso kwa Pini huyo kiguu na njia mpaka kwa wazazi wa mwanamke, leo yamekuwa haya tena ya mabinti kutuma maombi wenyewe!!

Hata ule wimbo wa Mubaraka Mwinshehe "Mshenga" hauna maana tena!!


Kaunga na boss hapo ndoa hakuna tena!!

Mkuu hii ni Digitali ...mabadiliko. Kaunga na mimi hatuachani...ili nipite Salama hii midlife crisis inabidi tu nioe mwingine
 
Last edited by a moderator:
Mshindi wa shindano letu ni caven dish my new beautiful onyinye....world cup ikiisha tutafanya party special. TATIANA naendelea na interview na wewe kuna ki position ntakutafutia. Bantu lady wifi yako huyo....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom