Natafuta mke tutakaye-adopt watoto pamoja naye

Natafuta mke tutakaye-adopt watoto pamoja naye

Mambo naomba
Habari za leo wana JF.

Mimi ni kijana wa kiume rijali kabisa mwenye umri wa miaka 36. Nina elimu nzuri, mcha Mungu, nimeajiriwa, na nina ndoto za maisha vile vile. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimethibitishiwa na madaktari kuwa nina low sperm count kiasi ambacho siwezi kumpa mwanamke mimba.

Kwa hali hiyo basi nimebakiwa na option moja ya kuasili watoto yatima. Lakini siwezi kufanya jambo hilo peke yangu. Lazima niwe na mke. Nami sikutaka kuoa mke ambaye hata kubalina na matakwa hayo.

Nimeamua kuwa sasa ni wakati mwafaka wa kutangaza nia yangu hii kwa mwanamke ambaye pengine kwa sababu moja au nyingine naye yuko katika hali ngumu kama yangu kwamba naye hawezi kubeba mimba.

Kwa aliyetayari tafadhali niPM.

Sihitaji message zozote za maudhi ambazo hazinisaidii chochote. hujafa hujaumbika. hebu usiniongezee machungu bure wakati tayari nina machungu ya kutosha. kama haikuhusu pita kimya kimya na endelea na maisha yako. Najua kuna watu katika jukwaa hili lazima wacomment kila kitu tena kwa lugha za matusi, kejeli na kukatisha tamaa. kumbuka, kile upandacho utavuna hicho hicho. Tafadhali nyamaza.

Aliyeserious tu aje PM
 
Habari za leo wana JF.

Mimi ni kijana wa kiume rijali kabisa mwenye umri wa miaka 36. Nina elimu nzuri, mcha Mungu, nimeajiriwa, na nina ndoto za maisha vile vile. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimethibitishiwa na madaktari kuwa nina low sperm count kiasi ambacho siwezi kumpa mwanamke mimba.

Kwa hali hiyo basi nimebakiwa na option moja ya kuasili watoto yatima. Lakini siwezi kufanya jambo hilo peke yangu. Lazima niwe na mke. Nami sikutaka kuoa mke ambaye hata kubalina na matakwa hayo.

Nimeamua kuwa sasa ni wakati mwafaka wa kutangaza nia yangu hii kwa mwanamke ambaye pengine kwa sababu moja au nyingine naye yuko katika hali ngumu kama yangu kwamba naye hawezi kubeba mimba.

Kwa aliyetayari tafadhali niPM.

Sihitaji message zozote za maudhi ambazo hazinisaidii chochote. hujafa hujaumbika. hebu usiniongezee machungu bure wakati tayari nina machungu ya kutosha. kama haikuhusu pita kimya kimya na endelea na maisha yako. Najua kuna watu katika jukwaa hili lazima wacomment kila kitu tena kwa lugha za matusi, kejeli na kukatisha tamaa. kumbuka, kile upandacho utavuna hicho hicho. Tafadhali nyamaza.

Aliyeserious tu aje PM[/QUO kama bado nicheki
 
Endelea kumtumainia mola, nakumbuka kuna mtu aliambiwa hivyo ila mwanamke wake alipata mimba hadi alifikiri amesingiziwa mimba..mtoto alitoka kama alivyo.

Pole na nakutakia kila la kheri katika yote.
 
Pole sana Mkuu, Mungu Mkubwa usikate tamaa
 
m
Habari za leo wana JF.

Mimi ni kijana wa kiume rijali kabisa mwenye umri wa miaka 36. Nina elimu nzuri, mcha Mungu, nimeajiriwa, na nina ndoto za maisha vile vile. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimethibitishiwa na madaktari kuwa nina low sperm count kiasi ambacho siwezi kumpa mwanamke mimba.

Kwa hali hiyo basi nimebakiwa na option moja ya kuasili watoto yatima. Lakini siwezi kufanya jambo hilo peke yangu. Lazima niwe na mke. Nami sikutaka kuoa mke ambaye hata kubalina na matakwa hayo.

Nimeamua kuwa sasa ni wakati mwafaka wa kutangaza nia yangu hii kwa mwanamke ambaye pengine kwa sababu moja au nyingine naye yuko katika hali ngumu kama yangu kwamba naye hawezi kubeba mimba.

Kwa aliyetayari tafadhali niPM.

Sihitaji message zozote za maudhi ambazo hazinisaidii chochote. hujafa hujaumbika. hebu usiniongezee machungu bure wakati tayari nina machungu ya kutosha. kama haikuhusu pita kimya kimya na endelea na maisha yako. Najua kuna watu katika jukwaa hili lazima wacomment kila kitu tena kwa lugha za matusi, kejeli na kukatisha tamaa. kumbuka, kile upandacho utavuna hicho hicho. Tafadhali nyamaza.

Aliyeserious tu aje PM
mi niko tayari nitafute tutazungumza naamini tutafikia muafaka kama kweli uko serious naamin tutajenga familia kwa Mungu hakuna kinacho shindikana
 
Habari za leo wana JF.

Mimi ni kijana wa kiume rijali kabisa mwenye umri wa miaka 36. Nina elimu nzuri, mcha Mungu, nimeajiriwa, na nina ndoto za maisha vile vile. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimethibitishiwa na madaktari kuwa nina low sperm count kiasi ambacho siwezi kumpa mwanamke mimba.

Kwa hali hiyo basi nimebakiwa na option moja ya kuasili watoto yatima. Lakini siwezi kufanya jambo hilo peke yangu. Lazima niwe na mke. Nami sikutaka kuoa mke ambaye hata kubalina na matakwa hayo.

Nimeamua kuwa sasa ni wakati mwafaka wa kutangaza nia yangu hii kwa mwanamke ambaye pengine kwa sababu moja au nyingine naye yuko katika hali ngumu kama yangu kwamba naye hawezi kubeba mimba.

Kwa aliyetayari tafadhali niPM.

Sihitaji message zozote za maudhi ambazo hazinisaidii chochote. hujafa hujaumbika. hebu usiniongezee machungu bure wakati tayari nina machungu ya kutosha. kama haikuhusu pita kimya kimya na endelea na maisha yako. Najua kuna watu katika jukwaa hili lazima wacomment kila kitu tena kwa lugha za matusi, kejeli na kukatisha tamaa. kumbuka, kile upandacho utavuna hicho hicho. Tafadhali nyamaza.

Aliyeserious tu aje PM
Pole sana, lkn mbona hilo tatizo la low sperm count linatibika? Halafu kwa nn usioe mtu akampa mkeo mimba ukalea kuliko ku-adapt? Njoo pm nikupe dawa.
 
Habari za leo wana JF.

Mimi ni kijana wa kiume rijali kabisa mwenye umri wa miaka 36. Nina elimu nzuri, mcha Mungu, nimeajiriwa, na nina ndoto za maisha vile vile. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimethibitishiwa na madaktari kuwa nina low sperm count kiasi ambacho siwezi kumpa mwanamke mimba.

Kwa hali hiyo basi nimebakiwa na option moja ya kuasili watoto yatima. Lakini siwezi kufanya jambo hilo peke yangu. Lazima niwe na mke. Nami sikutaka kuoa mke ambaye hata kubalina na matakwa hayo.

Nimeamua kuwa sasa ni wakati mwafaka wa kutangaza nia yangu hii kwa mwanamke ambaye pengine kwa sababu moja au nyingine naye yuko katika hali ngumu kama yangu kwamba naye hawezi kubeba mimba.

Kwa aliyetayari tafadhali niPM.

Sihitaji message zozote za maudhi ambazo hazinisaidii chochote. hujafa hujaumbika. hebu usiniongezee machungu bure wakati tayari nina machungu ya kutosha. kama haikuhusu pita kimya kimya na endelea na maisha yako. Najua kuna watu katika jukwaa hili lazima wacomment kila kitu tena kwa lugha za matusi, kejeli na kukatisha tamaa. kumbuka, kile upandacho utavuna hicho hicho. Tafadhali nyamaza.

Aliyeserious tu aje PM
Pole sana Mimi kama utaniridhia nipo tayari ila ni single mother Wa mtoto mmoja kama utaridhia sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I feel what you are going through man! Nadhani unaweza kumpata mke mkaelewana ndani ya nyumba yenu akawa na ndugu yako mtakaye mchagua kisiri Ila pia huyo ndugu asijue tatizo lako lakini amtie mimba mkeo.

Mtoto yeyote aliyezaliwa ndani ya ndoa ni mtoto halali wa familia.

Kabla ya kufikiria kuasili watoto hii njia imetumika kulinda heshima ya familia kwenye Jamii yetu ya wa Africa.

Pole sana mzee
Huu sio ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Mimi kama utaniridhia nipo tayari ila ni single mother Wa mtoto mmoja kama utaridhia sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmm! Ila hata na ww Doris, nakuombea kwa Mungu akuhifadhi na kukulinda kwenye kiganja chake cha mkono wake. Nikisomaga michango yako, naona umeonewa sana katika mahusiano, Mungu akupe uvumilivu na hitaji la moyo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
There is still hope for you

Kwanza nikupe pole.
Mimi ushauri wangu ni nenda hospital wakufanyie further analysis. Hii itakusaidia kujua mobility ya the sperms, yaani uwezo wa hizo sperms kumove na pia itakusaidia kujua the morphology ya hizo sperms, yani shape yao ikoje.

Vipimo vya sperm count ni one of the first tests ili kujua tatizo, na sio kwamba vikija low basi ndo huwezi kuzaa kabisa. Further analysis is still needed.

Sikuhizi due to assistive reproductive technology, watu wenye tatizo la low sperm count bado kuna possibility ya wao kupata watoto.

Kwa mfano kwa kupitia IVF(in vitro fertilization) yani sperms na eggs zinakuwa fertilizatized kwenye lab halafu embryos zinapandikizwa kwenye uterus.

Au kwa njia ya ICSI( intracytoplasmic sperm injection) hii njia hasa hasa inatumika kwa wenye low sperm count ambapo ni sperm moja tu inahitajika, halafu wanaiinject kwenye yai/egg ya mwanamke, then baadae wanakuja kupandikiza embryo kwenye uterus.

Pia kapime fsh na lh, hizi ni hormones ambazo zinastimulate sperm production, kwa hiyo zikiwa low inabidi upate medication ya gonadotropin releasing hormone(GnRH) hii itafanya the pituitary kusecrete hizo hormones.

So ninachotaka kukwambia ni kuwa usilose hope, there is still a fighting chance. We nenda hospital wakazifanyie further analysis sperms zako, na pia wakacheki hormone levels zinazohusiana na sperm production. I think Muhimbili watakuwa wanaweza kufanya hivyo vipimo na pia siku hizi nadhani wanafanya hizo njia za kutunga mimba kwa kutumia assistive reproductive technology. So don't lose hope just yet!
We need people like you in this forum. Big up!!!!!
 
Back
Top Bottom