Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
CHUKUA HUU USHAURI.
1/Tatizo la mwanaume kuwa na Low Sperm count ni suala la mpito sio jambo la kudumu, ni kitu kinachotibika kitaalamu kwa 100%. Fanya uchunguzi upya katika kituo kingine cha Afya, pia tafuta tiba. Tiba ipo.
2/Kama wewe haujaoa au kama umeoa lakini hukutani na mkeo at least wastani wa mara tatu kwa wiki mfululizo kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huwezi kusema wewe ni Mgumba. Kikubwa uume unasimama na unaweza kumwaga manii za kutosha, basi uwezo wa kumpa msichana mimba upo kwa zaidi ya 80%.
3/Tatizo la Low sperm count ni dogo sana linapokuja suala la kumpa mtu mimba, kwa sababu mara nyingi ni tatizo la mpito na linatibika kwa 100%.
4/Kama kweli imethibitika au itathibitika kwa namna zote kitaalamu kuwa wewe hauna uwezo wa kumpa msichana mimba, basi fikiria kuoa msichana mwenye mtoto tayari kuliko kutaka kuoa msichana Tasa ili kuja kufanya adoption. Kwa sababu zifuatazo...
¡/Suluhisho la ndoa yenu kuwa na mtoto litakuwa limepata suluhu tayari. Maana tayari mtoto yupo.
¡/Upendo wa dhati kwa huyo mtoto utakuwepo kwa sababu amezaliwa na mkeo.
¡¡¡/Wapo wasichana wengi sana waliozalishwa watoto na kukimbiwa na wavulana, hivyo wanalea watoto wasiokuwa na baba wanaofahamika, wasichana hao hitaji lao kubwa ni kutaka tu kuolewa na kufurahia maisha ya ndoa na wala sio kuzaa tena. Hivyo ukimpata huyo utakuwa umepata dhahabu.
¡v/Kumpata msichana ambaye hajaolewa kabisa
na asiyeweza kuzaa kabisa, akiwa na umri chini ya miaka 35 huku akijua kabisa hana uwezo wa kuzaa na akaikubali hiyo hali ni jambo gumu sana. Narudia tena, ni jambo gumu sana. Kwanini? Hawezi kujijua, hawezi kujikubali, haachi kujaribu tena na tena kulala na wanaume tofauti tofauti ili kutafuta mimba nk. Ukioa huyo mwanamke cha moto utakipata tu. Utaumizwa sana.
vi/Suala la kuasili mtoto(Adoption) lina michakato yake kisheria na changamoto zake huko mbele ya safari. Hivyo linaweza pia kukuzingua hapo mwanzoni au huko siku za usoni. Ni last option kwa wale wanandoa walioshindwa kabisa kuzaa. Sio kitu cha blah blah. Ushauri nasaha huwa unatumika sana kabla ya kuamua hilo.
v/Huenda huko mbele ya safari mambo yako yakakaa vizuri na ukaweza kumpa mimba pia. Mambo yote yanawezekana tu, kikubwa hujakata tamaa.
1/Tatizo la mwanaume kuwa na Low Sperm count ni suala la mpito sio jambo la kudumu, ni kitu kinachotibika kitaalamu kwa 100%. Fanya uchunguzi upya katika kituo kingine cha Afya, pia tafuta tiba. Tiba ipo.
2/Kama wewe haujaoa au kama umeoa lakini hukutani na mkeo at least wastani wa mara tatu kwa wiki mfululizo kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huwezi kusema wewe ni Mgumba. Kikubwa uume unasimama na unaweza kumwaga manii za kutosha, basi uwezo wa kumpa msichana mimba upo kwa zaidi ya 80%.
3/Tatizo la Low sperm count ni dogo sana linapokuja suala la kumpa mtu mimba, kwa sababu mara nyingi ni tatizo la mpito na linatibika kwa 100%.
4/Kama kweli imethibitika au itathibitika kwa namna zote kitaalamu kuwa wewe hauna uwezo wa kumpa msichana mimba, basi fikiria kuoa msichana mwenye mtoto tayari kuliko kutaka kuoa msichana Tasa ili kuja kufanya adoption. Kwa sababu zifuatazo...
¡/Suluhisho la ndoa yenu kuwa na mtoto litakuwa limepata suluhu tayari. Maana tayari mtoto yupo.
¡/Upendo wa dhati kwa huyo mtoto utakuwepo kwa sababu amezaliwa na mkeo.
¡¡¡/Wapo wasichana wengi sana waliozalishwa watoto na kukimbiwa na wavulana, hivyo wanalea watoto wasiokuwa na baba wanaofahamika, wasichana hao hitaji lao kubwa ni kutaka tu kuolewa na kufurahia maisha ya ndoa na wala sio kuzaa tena. Hivyo ukimpata huyo utakuwa umepata dhahabu.
¡v/Kumpata msichana ambaye hajaolewa kabisa
na asiyeweza kuzaa kabisa, akiwa na umri chini ya miaka 35 huku akijua kabisa hana uwezo wa kuzaa na akaikubali hiyo hali ni jambo gumu sana. Narudia tena, ni jambo gumu sana. Kwanini? Hawezi kujijua, hawezi kujikubali, haachi kujaribu tena na tena kulala na wanaume tofauti tofauti ili kutafuta mimba nk. Ukioa huyo mwanamke cha moto utakipata tu. Utaumizwa sana.
vi/Suala la kuasili mtoto(Adoption) lina michakato yake kisheria na changamoto zake huko mbele ya safari. Hivyo linaweza pia kukuzingua hapo mwanzoni au huko siku za usoni. Ni last option kwa wale wanandoa walioshindwa kabisa kuzaa. Sio kitu cha blah blah. Ushauri nasaha huwa unatumika sana kabla ya kuamua hilo.
v/Huenda huko mbele ya safari mambo yako yakakaa vizuri na ukaweza kumpa mimba pia. Mambo yote yanawezekana tu, kikubwa hujakata tamaa.