Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Jamani si mlisema mki pata went hela, mshikamane ππ€£Kigezo namba Moja kimenitoa kwenye reli,,,
Kigezo namba 8 kimenishangaza.
Kigezo namba 11 kimenichekesha.....Ila atasubiri sana kupata mke Kwa vigezo vyake hivyo labda aombe UTUMISHI wamsaidie kutangazaπππ
nakutakia kila la kheri katika hilo, hakikisha unafanya ibada kila mara na kumshirikisha Allah katika kila hatua πSifa za mke:
1. Awe muslim
2. Umri chini ya miaka 30
3. Mweupe na urefu wa katikat
4. Umbo la kuvutia
5. Awe tayari kuwa msimamizi wa biashara za familia na sio zake binafsi
6. Asiwe mkali na hasira hasira
7. Awe tayari kupima afya
8. Awe msikivu kwa mmewe, na kauli yangu ndo mwisho
9. Awe tayari kuwa na watoto wawili tu
10. Asiwe na maisha ya kujikweza
11. Awe ni mtu wa kujari mme , ata nispomwambia kitu aweze kujiongeza. Mf: nikiwa job night aweze kuniandalia chai ya tangawizi au maziwa bila kuniambia kwa kifupi ajali mme
12. Awe na malengo makubwa ya kimaisha
13. Akiwa na mtoto mmoja au huna mtoto kabisa itapendeza
sifa zangu:
1. Sio mrefu wala mfupi
2. Mwislam
3. Mfanyabiashara
4. Muajiriwa taasisi binafsi
5. Mfugaji wa kati
6. Muwekezaji wa kila siku
7. Miwezi kumnyanyasa mwanamke lakin pia, siwezi kumzuia aondoke kama ameona hatuendani
8. Mpole sana na sipendi kununiwa muda mrefu
9. Mina watoto wawili ndani ya ndoa iliyovunjika mwaka jana
10. Nina miaka 29
11. Sina hela cash, zote ziko busy lakin pia sio maskini
Nimepanga sijajenga: niko Songwe kwa sasa, lakini natarajia kuishi Kigamboni
Kwa aliye serious tu, aje PM na awapende wanangu wawili.
Ahsante.
Tulisema wenye vyote.Jamani si mlisema mki pata went hela, mshikamane ππ€£
Inaonekana unapenda sana Ndoa.Mina watoto wawili ndani ya ndoa iliyovunjika mwaka jana
Kwani mtoa mada Hana vyoteπTulisema wenye vyote.
It doesn't matter, we shikamana bhanaπTangazo Kama la nafas za kazi
Mchagua jembe si mkulima....vigezo vyote 20 vya kazi ganiKwani mtoa mada Hana vyoteπ
Mchagua jembe si mkulima....vigezo vyote 20 vya kazi gani
Huyo anataka jini sio mke wa kibinadamu mahi ππππ
π€£π€£π€£π€£π€£Hakika uko sahihi mdogo wanguHuyo anataka jini sio mke wa kibinadamu mahi ππππ
Azungukie baharini atampata
πππ Anataka kutuchosha huyuπ€£π€£π€£π€£π€£Hakika uko sahihi mdogo wangu
Eti ujiongeze umpikie chai ya mdalasini usiku bila kuambiwa au umuandalie maziwaπππ Anataka kutuchosha huyu
Kuna tatizo hapo kipenzi?Eti ujiongeze umpikie chai ya mdalasini usiku bila kuambiwa au umuandalie maziwa
Na mie naanda vya kwangu..[emoji38]..sema huwa naandika nafuta naandika nafuta.Mchagua jembe si mkulima....vigezo vyote 20 vya kazi gani