Natafuta mke, uwe tayari kuwa mke muda wowote

Natafuta mke, uwe tayari kuwa mke muda wowote

kaaandika๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

et hela nnazo sio cash zipo busy mie heee
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mjini cash inatakiwa, hizo zilizokuwa mashambani tutamsubiri kipindi cha mavuno bana weeh
 
Vigezo viwe vi
Huo muda usiku wa kuandaa chai ya mdalasini tunaupata wapi?insta na JF zitasomwa na nani?๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Si ndio hapo?? Siku hizi tunabebishana wallet ikijaa au tarehe za mshahara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Niandae chai nikiungua na rangi yangu ya kucha ibanduke kisa na mkasa!!!
Kwanza ngozi ya kuishindisha jikoni kuandaa chai iko wapi?? Nitaharibu skin routine yangu ngozi ishindwe ku glow bure ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Si ndio hapo?? Siku hizi tunabebishana wallet ikijaa au tarehe za mshahara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Niandae chai nikiungua na rangi yangu ya kucha ibanduke kisa na mkasa!!!
Kwanza ngozi ya kuishindisha jikoni kuandaa chai iko wapi?? Nitaharibu skin routine yangu ngozi ishindwe ku glow bure ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ana mpango tuanze kusema Turmeric body oil fake huyu au sio?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mjini cash inatakiwa, hizo zilizokuwa mashambani tutamsubiri kipindi cha mavuno bana weeh
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Yeye mwenyewe kaandika hiyo sentence huku anatetemeka mana ukweli anaujuaโ€ฆ..
Hao wanawake walikuwepo enzi za mjerumani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
mke wa hivyo atampata kwenye mali kale huko
 
Kwa hizi comment kwenye huu uzi basi itoshe tu kusema wanawake wa humu ni wadangaji/wauzaji wa kiwango cha juu sana.
Basi mtuuzie sasa
 
jaman napokea comment zote, lakin pia niseme tu kuwa nashukuru kwa kila kitu! na kila maoni mnayotoa ntayafanyia kazi
 
Kama ulimwacha wa kwanza, na wa pili ajiandae!!
Huu usajiri nimeupenda vigezo hivyo alienavyo hajui hata kutumia smartphone beki 3 kwenye nyumba fulani mda huu anatawaza watoto, hawa wabandika kope za bandia hivyo vigezo hawana
 
Back
Top Bottom