Natafuta mke, uwe tayari kuwa mke muda wowote

kaaandikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

et hela nnazo sio cash zipo busy mie heee
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mjini cash inatakiwa, hizo zilizokuwa mashambani tutamsubiri kipindi cha mavuno bana weeh
 
Vigezo viwe vi
Huo muda usiku wa kuandaa chai ya mdalasini tunaupata wapi?insta na JF zitasomwa na nani?😁😁😁😁
Si ndio hapo?? Siku hizi tunabebishana wallet ikijaa au tarehe za mshahara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Niandae chai nikiungua na rangi yangu ya kucha ibanduke kisa na mkasa!!!
Kwanza ngozi ya kuishindisha jikoni kuandaa chai iko wapi?? Nitaharibu skin routine yangu ngozi ishindwe ku glow bure πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ana mpango tuanze kusema Turmeric body oil fake huyu au sio?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mjini cash inatakiwa, hizo zilizokuwa mashambani tutamsubiri kipindi cha mavuno bana weeh
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yeye mwenyewe kaandika hiyo sentence huku anatetemeka mana ukweli anaujua…..
Hao wanawake walikuwepo enzi za mjerumani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
mke wa hivyo atampata kwenye mali kale huko
 
Kwa hizi comment kwenye huu uzi basi itoshe tu kusema wanawake wa humu ni wadangaji/wauzaji wa kiwango cha juu sana.
Basi mtuuzie sasa
 
jaman napokea comment zote, lakin pia niseme tu kuwa nashukuru kwa kila kitu! na kila maoni mnayotoa ntayafanyia kazi
 
Kama ulimwacha wa kwanza, na wa pili ajiandae!!
Huu usajiri nimeupenda vigezo hivyo alienavyo hajui hata kutumia smartphone beki 3 kwenye nyumba fulani mda huu anatawaza watoto, hawa wabandika kope za bandia hivyo vigezo hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…