Natafuta Mke wa kuoa, kila mtu aposti picha ya Dada yake ambaye hajaolewa!

Natafuta Mke wa kuoa, kila mtu aposti picha ya Dada yake ambaye hajaolewa!

Utapata tu ila wanaume wa humu wai hampo serious hata walio single wameshindwa kujitokeza
Nimesema wanaume, kwa sababu humu wadada ni wachache, hivyo kama wanaume wana Dada zao au kadharika basi waweke ili iwe rahisi kwangu. Je wewe umeolewa au upo single!
 
Kama habari inavyojieleza natafuta Mke wa kuoa, nimekuwa busy na kazi nakosa muda wa ku-mingle na kutongoza, na wengi ninaokutana nao wanawapenzi wao na wengine wameolewa. Sasa mimi nataka wa kwangu peke angu. Pia mimi ni miongoni mwa watu nisiopenda complications za kutongoza, wale wa sijui sitaki nataka, mara umeomba namba mtu anakuuliza ya kazi gani, mara umetoa wapi namba yangu wakati kakupatia yeye, mara sijui tuma kwanza na ya kutolea, na kadhia zingine tunazokutana nazo wakati wa kutongoza. Unakuta mdada badala ya kukunyooshea maelezo kuwa nina mtu, sikutaki, au nakutaka pia, unakuta mdada anakuzungusha, hupo naye lakini mlivyokaa na kama kila mtu anaweka mguu mmoja ndani mwingine nje.

Sasa mimi nataka wa kuoa kabisa, sasa humu ndani kama wewe ni mdada hujaolewa weka post yako, au kama ni Mkaka una Dada yako hajaolewa weka picha yake hapa tuone maana nataka kupata mke, pia mabechela wengi pia watachagua Pisi zao.
1297756840.jpg
-268437921.jpg
 
Una miliki nini na pesa kiasi gani zipo benki?
Usije kuwa take home 300K kwa mwezi unakuja kusumbua watu humu unataka mke au unataka House gal?
Funguka zaidi nikupe binti yangu 23 ana Masters na bikra kwa mujibu wa daktari wa familia.
Sitaki mkwe anayemiliki kende na mavyuzii tu.
Pesa zipo za kutosha, atafurahi mwenyewe... Nitumie picha yake
 
Nitumie bank statement yako nikupe picha na namba zake.
Mimi nataka mtu trustworthy, sasa ukisema tuanze kuweka Bank Statement... Anaweza akaja kwa Tamaa hili apige pesa asepe, na mimi staki watu wa aina hiyo. Yeye kama ana deserve maisha mazuri nipe details zake
 
Back
Top Bottom