Natafuta Mke wa kuoa, kila mtu aposti picha ya Dada yake ambaye hajaolewa!

Natafuta Mke wa kuoa, kila mtu aposti picha ya Dada yake ambaye hajaolewa!

Kama habari inavyojieleza natafuta Mke wa kuoa, nimekuwa busy na kazi nakosa muda wa ku-mingle na kutongoza, na wengi ninaokutana nao wanawapenzi wao na wengine wameolewa. Sasa mimi nataka wa kwangu peke angu. Pia mimi ni miongoni mwa watu nisiopenda complications za kutongoza, wale wa sijui sitaki nataka, mara umeomba namba mtu anakuuliza ya kazi gani, mara umetoa wapi namba yangu wakati kakupatia yeye, mara sijui tuma kwanza na ya kutolea, na kadhia zingine tunazokutana nazo wakati wa kutongoza. Unakuta mdada badala ya kukunyooshea maelezo kuwa nina mtu, sikutaki, au nakutaka pia, unakuta mdada anakuzungusha, hupo naye lakini mlivyokaa na kama kila mtu anaweka mguu mmoja ndani mwingine nje.

Sasa mimi nataka wa kuoa kabisa, sasa humu ndani kama wewe ni mdada hujaolewa weka post yako, au kama ni Mkaka una Dada yako hajaolewa weka picha yake hapa tuone maana nataka kupata mke, pia mabechela wengi pia watachagua Pisi zao.
1694164601736.png

Huyu tunakupa bureeee na ukipenda tunalipa mahari sisi.
 
Una miliki nini na pesa kiasi gani zipo benki?
Usije kuwa take home 300K kwa mwezi unakuja kusumbua watu humu unataka mke au unataka House gal?
Funguka zaidi nikupe binti yangu 23 ana Masters na bikra kwa mujibu wa daktari wa familia.
Sitaki mkwe anayemiliki kende na mavyuzii tu.
Nimependa uko straight hakuna kona kona.
 
Nina maisha ya uhakika, wewe mlete sister Ako lete namba PM, mbona uta-enjoy tu kamba Bwana Shemeji.... Hautajuta kamanda mimi ndio Chief Lumanyika
Nimekaa nimetafakari kuhusu suala lako ila nimekumbuka kuwa dada akiolewa na mtu ana hela basi na mimi nakuwa nimeula .

Aisee shemeji ChiefLumanyika nimetuma namba ya dada PM akileta ujuaji nijulishe lakini pia mueleze kaka yake nimeridhia wewe umstiri .

Oya shemeji nakukubali sana rafiki Chief Kumbyambya nimepata shemeji now umasikini wa pombe za kugongea tupa kule .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Hapana... Kila mtu uwa na Bahati yake, uenda mimi nikaokota Dodo china ya mparachichi, haya mambo yanawezekana ofisa
Halafu nilijua uko serious. Nimeona hauko serious.
Kama uko serious komaa na huyo mzee alisema ana binti yake wa 23 yrs old make sure upate mawasiliano yake mengine yanweza kuwa history. Fanya hivyo.
 
Mimi nataka mtu trustworthy, sasa ukisema tuanze kuweka Bank Statement... Anaweza akaja kwa Tamaa hili apige pesa asepe, na mimi staki watu wa aina hiyo. Yeye kama ana deserve maisha mazuri nipe details zake
Amezaliwa na kukuta pesa toka kwa sisi wazazi wake.
Sio mgeni wa pesa sasa ni mtu mzima naye ana elimu na kazi yake inayompa pesa,sina hakika kama unaweza kuwa na benki statement ya kumfanya binti yangu aweweseke kisa pesa zako.
Acha maneno mingi kijana funguka otherwise utaendelea kupiga nyeto maisha yako yaliyobaki duniani.
 
Nakwambia utatoka tu hata kwa greda. Tutakuozesha utake usitake! Unakaribia miaka 40 sasa bado hutaki kuolewa?
🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe hata umri wangu kaka huujui🙆🙆🙆
40 kitambo sana, na sitokiiii hata kwa greda🤣🤣🤣🤣🤣
 
...Dah! Mimi sijui kabisa kutongoza... Istoshe naogopaga sana... Kazi nnayo...
 
Back
Top Bottom