raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Chombo ilikuwa inamilikiwa na muhindi 😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
190,000 km.
Haijatembea sana safari ni ofisini - nyumbani tu. Weekend imepaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chombo ilikuwa inamilikiwa na muhindi 😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
190,000 km.
Haijatembea sana safari ni ofisini - nyumbani tu. Weekend imepaki.
Ebhanaeee sio masikhara ujue 😄🔥🔥🔥🔥🔥Ngoja nikupe dada yangu Atoto tumemchoka hapa nyumbani kila siku kutufanyia fujo.View attachment 2743010
Nakwambia utatoka tu hata kwa greda. Tutakuozesha utake usitake! Unakaribia miaka 40 sasa bado hutaki kuolewa?Dawa zako leo hujameza eti😳😳
Nyumbani sitoki ng'ooooo! 🤣🤣🤣
Kama habari inavyojieleza natafuta Mke wa kuoa, nimekuwa busy na kazi nakosa muda wa ku-mingle na kutongoza, na wengi ninaokutana nao wanawapenzi wao na wengine wameolewa. Sasa mimi nataka wa kwangu peke angu. Pia mimi ni miongoni mwa watu nisiopenda complications za kutongoza, wale wa sijui sitaki nataka, mara umeomba namba mtu anakuuliza ya kazi gani, mara umetoa wapi namba yangu wakati kakupatia yeye, mara sijui tuma kwanza na ya kutolea, na kadhia zingine tunazokutana nazo wakati wa kutongoza. Unakuta mdada badala ya kukunyooshea maelezo kuwa nina mtu, sikutaki, au nakutaka pia, unakuta mdada anakuzungusha, hupo naye lakini mlivyokaa na kama kila mtu anaweka mguu mmoja ndani mwingine nje.
Sasa mimi nataka wa kuoa kabisa, sasa humu ndani kama wewe ni mdada hujaolewa weka post yako, au kama ni Mkaka una Dada yako hajaolewa weka picha yake hapa tuone maana nataka kupata mke, pia mabechela wengi pia watachagua Pisi zao.
Unawasagia kunguni wadada wa mjini😆😆😆
Hii mada iishe tutakuja kushikana mashati buree
Badoo bossyKu-settle bado?
Nimependa uko straight hakuna kona kona.Una miliki nini na pesa kiasi gani zipo benki?
Usije kuwa take home 300K kwa mwezi unakuja kusumbua watu humu unataka mke au unataka House gal?
Funguka zaidi nikupe binti yangu 23 ana Masters na bikra kwa mujibu wa daktari wa familia.
Sitaki mkwe anayemiliki kende na mavyuzii tu.
Nimekaa nimetafakari kuhusu suala lako ila nimekumbuka kuwa dada akiolewa na mtu ana hela basi na mimi nakuwa nimeula .Nina maisha ya uhakika, wewe mlete sister Ako lete namba PM, mbona uta-enjoy tu kamba Bwana Shemeji.... Hautajuta kamanda mimi ndio Chief Lumanyika
Halafu nilijua uko serious. Nimeona hauko serious.Hapana... Kila mtu uwa na Bahati yake, uenda mimi nikaokota Dodo china ya mparachichi, haya mambo yanawezekana ofisa
Amezaliwa na kukuta pesa toka kwa sisi wazazi wake.Mimi nataka mtu trustworthy, sasa ukisema tuanze kuweka Bank Statement... Anaweza akaja kwa Tamaa hili apige pesa asepe, na mimi staki watu wa aina hiyo. Yeye kama ana deserve maisha mazuri nipe details zake
Haya subiriaOndoa shaka, Mlungula hupo wa kutosha... Sasa yako ata-enjoy... Lete maelekezo na namba, results utazipata kwake
🤣🤣🤣🤣🤣Nakwambia utatoka tu hata kwa greda. Tutakuozesha utake usitake! Unakaribia miaka 40 sasa bado hutaki kuolewa?
Huyu ndio dada yako ambaye hajaolewa we jamaa
History inasema wewe ni nani!?... Ama mimi ni nani!? Nyani ama sokwe whatever!.... So huyo ni sokwe... dadaangu!Huyu ndio dada yako ambaye hajaolewa we jamaa