Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida wewe ni nshomile na unapenda sifa by the way huna hela wewe huwezi kumuoa dada yangu .Kama habari inavyojieleza natafuta Mke wa kuoa, nimekuwa busy na kazi nakosa muda wa ku-mingle na kutongoza, na wengi ninaokutana nao wanawapenzi wao na wengine wameolewa. Sasa mimi nataka wa kwangu peke angu. Pia mimi ni miongoni mwa watu nisiopenda complications za kutongoza, wale wa sijui sitaki nataka, mara umeomba namba mtu anakuuliza ya kazi gani, mara umetoa wapi namba yangu wakati kakupatia yeye, mara sijui tuma kwanza na ya kutolea, na kadhia zingine tunazokutana nazo wakati wa kutongoza. Unakuta mdada badala ya kukunyooshea maelezo kuwa nina mtu, sikutaki, au nakutaka pia, unakuta mdada anakuzungusha, hupo naye lakini mlivyokaa na kama kila mtu anaweka mguu mmoja ndani mwingine nje.
Sasa mimi nataka wa kuoa kabisa, sasa humu ndani kama wewe ni mdada hujaolewa weka post yako, au kama ni Mkaka una Dada yako hajaolewa weka picha yake hapa tuone maana nataka kupata mke, pia mabechela wengi pia watachagua Pisi zao.
Picha zako za mitandaoniView attachment 2743028kama una ela sana nikupe huyu
Weka Dada yako, sio za mtandaoniView attachment 2743028kama una ela sana nikupe huyu
Hayo mengine achana nayo, mlete sister tuyajenge hapa... Hizo nyingine mbwembwe tu, kwa hiyo utamuoa wewe huyo dada akoShida wewe ni nshomile na unapenda sifa by the way huna hela wewe huwezi kumuoa dada yangu .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hapana siwez kumuoa mimi ila sasa sitaki habari za wewe uanze kumtuma dada akope hela kwangu maana sioni shida kumtafutia bwana mpya .Hayo mengine achana nayo, mlete sister tuyajenge hapa... Hizo nyingine mbwembwe tu, kwa hiyo utamuoa wewe huyo dada ako
Nina maisha ya uhakika, wewe mlete sister Ako lete namba PM, mbona uta-enjoy tu kamba Bwana Shemeji.... Hautajuta kamanda mimi ndio Chief LumanyikaHapana siwez kumuoa mimi ila sasa sitaki habari za wewe uanze kumtuma dada akope hela kwangu maana sioni shida kumtafutia bwana mpya .
Nambie una nini ili nishawisheke kukushikisha tako la dada .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile apph
Ndioo ndiio!! Kila la kheri mkuu!Hapana... Kila mtu uwa na Bahati yake, uenda mimi nikaokota Dodo china ya mparachichi, haya mambo yanawezekana ofisa
Ushindwe na ulegee!!Si nakupenda nataka upate kilicho bora kwako.
Ndio nishaolewa muda mrefu!Wewe umeolewa mkuu?