Natafuta Mke wa kuoa, kila mtu aposti picha ya Dada yake ambaye hajaolewa!

Utapata tu ila wanaume wa humu wai hampo serious hata walio single wameshindwa kujitokeza
Nimesema wanaume, kwa sababu humu wadada ni wachache, hivyo kama wanaume wana Dada zao au kadharika basi waweke ili iwe rahisi kwangu. Je wewe umeolewa au upo single!
 
 
Pesa zipo za kutosha, atafurahi mwenyewe... Nitumie picha yake
 
Nitumie bank statement yako nikupe picha na namba zake.
Mimi nataka mtu trustworthy, sasa ukisema tuanze kuweka Bank Statement... Anaweza akaja kwa Tamaa hili apige pesa asepe, na mimi staki watu wa aina hiyo. Yeye kama ana deserve maisha mazuri nipe details zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…