Natafuta Mke wa kuoa, kila mtu aposti picha ya Dada yake ambaye hajaolewa!

Shida wewe ni nshomile na unapenda sifa by the way huna hela wewe huwezi kumuoa dada yangu .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Hayo mengine achana nayo, mlete sister tuyajenge hapa... Hizo nyingine mbwembwe tu, kwa hiyo utamuoa wewe huyo dada ako
Hapana siwez kumuoa mimi ila sasa sitaki habari za wewe uanze kumtuma dada akope hela kwangu maana sioni shida kumtafutia bwana mpya .

Nambie una nini ili nishawisheke kukushikisha tako la dada .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Hapana siwez kumuoa mimi ila sasa sitaki habari za wewe uanze kumtuma dada akope hela kwangu maana sioni shida kumtafutia bwana mpya .

Nambie una nini ili nishawisheke kukushikisha tako la dada .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile apph
Nina maisha ya uhakika, wewe mlete sister Ako lete namba PM, mbona uta-enjoy tu kamba Bwana Shemeji.... Hautajuta kamanda mimi ndio Chief Lumanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…