Natafuta mke wa kuoa

Kwasasa hata ukiwa na HIV na kila mtu anajua lakin ukiwa mambo safi hukosi mke

WANAWAKE NI MAJASIRI SANA
 
Tena wanakupa mbususu kama yote
Hili nimeliona kabisa mtaan kwangu hadi nikabak mdomo wazi

Kuna jamaa kaoa kabinti baada ya kuachana na mkewe,cha ajabu hata hcho kibinti chenyewe kiliwah kuniambia kuwa hakiwez kuliwa na huyo jamaa maana ana ukimwi

Lakin cha ajabu jamaa kakaoa hako kabinti na tayar ameshazaa nako mtoto mmoja
 
Oh fear women my brada....ikija sula la kuhudumiwa hawa viumbe wapo tayari kujivika mabomu
 
HeeeπŸ˜³πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…