HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 665
- 892
- Thread starter
- #61
We muache sembuse naye hajaolewaHataki ufaidi mema ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We muache sembuse naye hajaolewaHataki ufaidi mema ya nchi
NitafurahiWatakuja haraka yanini??
NdioRoho nzuri ni yako??
SijaelewaPambania katika Kwanza
Kufanyaje mkuu🤔🤔Mmeungana
Mshikaji wangu tukiwa Bank moja Morogoro Branch baada ya kazi alikuwa anachukua zile mandates account open/ loan application form za wateja wa hiyo siku anakagua picha na kuchukua namba za simu.... though hiyo alipata mke mzuri wa chaguo lake.Miaka yangu ni 37
Naishi mkoa wa Dar
Kazi yangu kwa sasa AFISA WA BANK ( jina kapuni
Miaka kuanzia 25 kuja juu chini ya 25 usije Dm
Awe na mtoto kama huna mtoto usije coz mimi nina watoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Dini yoyote ile kikubwa Awe na mapenz ya dhati kwa sababu nilishawahi kuumizwa na mapenz
Sio kwa mwandiko huo Miss Latifa 🤣 🤣 🤣 🤣Ukorofi umeanza lini 😀
Hii nzur kkMshikaji wangu tukiwa Bank moja Morogoro Branch baada ya kazi alikuwa anachukua zile mandates account open/ loan application form za wateja wa hiyo siku anakagua picha na kuchukua namba za simu.... though hiyo alipata mke mzuri awa chaguo lake.
Nikutakie kila la kheri kwenye hitaji la moyo wako!!
Kunikosesha mkeKufanyaje mkuu[emoji848][emoji848]
UmeolewaRoho nzuri ni yako??
Wanakuja wenye watoto wamekumbukwa[emoji3][emoji3]
Sio kweli 😌😌Kunikosesha mke
Nitamwaga mchele kwenye kukuwengi 😀😀Shosti na wewe huna?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haha
Nitamwaga mchele kwenye kukuwengi [emoji3][emoji3]
Kama huna mtoto usije DMNimekosa mume dah!! Me sina mtoto!! Lakini si hata wewe na watoto wako, mtakua watoto wangu jamani?? Mbona una ubaguzi?? [emoji17][emoji17][emoji17]
Haya single mazaz fursa hiyo mkaongeze team [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamaanisha nn mkuuHuyu anataka kitu cha kufanya nyumba isionekane haina mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeolewa kama bado na una mtoto njoo inboxSio kweli [emoji18][emoji18]
MwagaHaha
Nitamwaga mchele kwenye kukuwengi [emoji3][emoji3]