Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Ofisa wa benki anashinda mtandaoni jf, kakosa mke hata kwenye wateja wakina mama wa kila aina wanao kuja kukopa benki......wewe sio bure utakua muongo au unamatatizo makubwa kuna kazi huwexi kukosa mke labda uwe muathirika wa HIV na workmate wote wamesha kujua.
Kwasasa hata ukiwa na HIV na kila mtu anajua lakin ukiwa mambo safi hukosi mke

WANAWAKE NI MAJASIRI SANA
 
Tena wanakupa mbususu kama yote
Hili nimeliona kabisa mtaan kwangu hadi nikabak mdomo wazi

Kuna jamaa kaoa kabinti baada ya kuachana na mkewe,cha ajabu hata hcho kibinti chenyewe kiliwah kuniambia kuwa hakiwez kuliwa na huyo jamaa maana ana ukimwi

Lakin cha ajabu jamaa kakaoa hako kabinti na tayar ameshazaa nako mtoto mmoja
 
Hili nimeliona kabisa mtaan kwangu hadi nikabak mdomo wazi

Kuna jamaa kaoa kabinti baada ya kuachana na mkewe,cha ajabu hata hcho kibinti chenyewe kiliwah kuniambia kuwa hakiwez kuliwa na huyo jamaa maana ana ukimwi

Lakin cha ajabu jamaa kakaoa hako kabinti na tayar ameshazaa nako mtoto mmoja
Oh fear women my brada....ikija sula la kuhudumiwa hawa viumbe wapo tayari kujivika mabomu
 
Ofisa wa benki anashinda mtandaoni jf, kakosa mke hata kwenye wateja wakina mama wa kila aina wanao kuja kukopa benki......wewe sio bure utakua muongo au unamatatizo makubwa kuna kazi huwexi kukosa mke labda uwe muathirika wa HIV na workmate wote wamesha kujua.
Heee😳😃😃😃😃😃🤔
 
Back
Top Bottom