HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 665
- 892
- Thread starter
- #41
Acha roho mbayaPm itajaa sana ila watapigwa na kitu kizito watakuja kusimulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha roho mbayaPm itajaa sana ila watapigwa na kitu kizito watakuja kusimulia
Kwasasa hata ukiwa na HIV na kila mtu anajua lakin ukiwa mambo safi hukosi mkeOfisa wa benki anashinda mtandaoni jf, kakosa mke hata kwenye wateja wakina mama wa kila aina wanao kuja kukopa benki......wewe sio bure utakua muongo au unamatatizo makubwa kuna kazi huwexi kukosa mke labda uwe muathirika wa HIV na workmate wote wamesha kujua.
Huyo ameshindikana usijadibu aiseeHata wew njoo
Tena wanakupa mbususu kama yoteKwasasa hata ukiwa na HIV na kila mtu anajua lakin ukiwa mambo safi hukosi mke
WANAWAKE NI MAJASIRI SANA
Hili nimeliona kabisa mtaan kwangu hadi nikabak mdomo waziTena wanakupa mbususu kama yote
Oh fear women my brada....ikija sula la kuhudumiwa hawa viumbe wapo tayari kujivika mabomuHili nimeliona kabisa mtaan kwangu hadi nikabak mdomo wazi
Kuna jamaa kaoa kabinti baada ya kuachana na mkewe,cha ajabu hata hcho kibinti chenyewe kiliwah kuniambia kuwa hakiwez kuliwa na huyo jamaa maana ana ukimwi
Lakin cha ajabu jamaa kakaoa hako kabinti na tayar ameshazaa nako mtoto mmoja
Ukorofi umeanza lini 😀😂😂😂😂, Mkuu HSE Officer , hebu jaribu kuwa serious na maisha basi, hivi wewe kweli ni Bank Officer au hiyo Tittle umeitumia kama chambo kuwanasa Dada zetu ???
Maana haya maandishi yako yanaonyesha kabisa hata kubonyeza keyboard za PC hayajazoea.
Kwamba nimeadhirika sioKwasasa hata ukiwa na HIV na kila mtu anajua lakin ukiwa mambo safi hukosi mke
WANAWAKE NI MAJASIRI SANA
Kwa nn mkuuHuyo ameshindikana usijadibu aisee
Huyo wee mie namjuaKwa nn mkuu
Anazingua huyo anataka nikose mkeUkorofi umeanza lini 😀
Nipo hapa...Ustadhi!Naomba tilia mkazo hapo[emoji3][emoji3]
Kwa ajili ya malezi ya watotoKuna mke wa kuoa na kuna mke wa kufanyaje?
Heee😳😃😃😃😃😃🤔Ofisa wa benki anashinda mtandaoni jf, kakosa mke hata kwenye wateja wakina mama wa kila aina wanao kuja kukopa benki......wewe sio bure utakua muongo au unamatatizo makubwa kuna kazi huwexi kukosa mke labda uwe muathirika wa HIV na workmate wote wamesha kujua.
Hataki ufaidi mema ya nchiAnazingua huyo anataka nikose mke
Watakuja haraka yanini??Mbona hawaji
Roho nzuri ni yako??Acha roho mbaya
Asante kwa kunisaidia kujibuKwa ajili ya malezi ya watoto
MmeunganaHeee[emoji15][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji848]