Kwahiyo hatafuti mke wa kuoa bali anatafuta wa kulea watoto?Kwa ajili ya malezi ya watoto
Ndio mmKwenye avatar ni wewe?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha ukorofi bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Meno ya mbele hana!!! Inaonekana Mandonga
Umeolewa??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Meno ya mbele hana!!! Inaonekana Mandonga
Ana wivu huyo achana nae[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja aje usikimbie
Njoo inbox[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wala simkimbii mwambie aje
Naweza kusemaSubiri [emoji3][emoji3]sema hayo mapengo hawez sema nimekumiss itakuwa nimekumithiii
Duu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Bathi njoo thatha hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji120]Kwahiyo hatafuti mke wa kuoa bali anatafuta wa kulea watoto?
Kuna tofauti kati ya maid na mke.
Labda hukuelewa kwanini nilimuuliza hilo swali.
Akiwa mke, technically ina maanisha tayari ameolewa. Majukumu ya kuolewa ni pamoja na malezi ya watoto.
Huwezi kusema unatafuta mke wa kuoa. Sahihi ni kutafuta mke.
Au labda “mwanamke wa kuoa”, wa kuwa mke nk.
Unazingua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] samaki atasema thamakii
Bathi njoo thatha hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mm
Acha ukorofi bhana
Umeolewa??
Njoo inbox
Sitaki wateja mkuuChief unaniangusha Wateja wamama wazuri ambao hawajaolewa wanaokuja kutoa laki laki huwaoni?
NjooNdo wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
NjooNioe ila sina mtoto [emoji23][emoji23][emoji23]