Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaharibu kazi za watu ujue? Wee huogopiiii?Basi nimeacha udugu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YaleyaleMama wa mtoto yuko wapi? Au na yeye atakuja na mada ya kutaka mume!
Naamal, Huku naomba upaishe huonmpira nje 🤣😄Ahsante sana kwa assist 😆
Niko 6 point kadhaa hapo5.9 feet sio 5' 9"(5 feet 9 inches). Bado sio mfupi.
Hahahaha. Sawa mkuu. Naona ni yaleyale kama jina langu.Yaleyale
Mkuu mkuu..We chaliii nipo mji mwema nakuja huko mitaaa ya karibu na kwenu
Lamomy nakukaribisha nimeandaa pilau la nyanya huku 🙌🙌🙌..Wizo yuko ukweni anakula sikukuu 😂
Ngoja nipitie kinywaji cha kushushia nakuja bro poor 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Safiiii...Ngoja nipitie kinywaji cha kushushia nakuja bro poor 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mi nilijua Winnone yuko kwako ndo kapika ilo pilau?? Kumbe uko peke yako gheto?? Aisee siji 🤣🤣🤣🤣
Mabibi kwenu , waachie watoto wakehemmeane unaogopa magonjwa .Kama umezidi 30 noo ila kama uko below 30 ni Dm
Kwanini sasa...Mi nilijua Winnone yuko kwako ndo kapika ilo pilau?? Kumbe uko peke yako gheto?? Aisee siji 🤣🤣🤣🤣
Baadaye jioni kama shem hajakaba basi Jo 😊...
Twende dinner pale Msasani Mall rooftop kwa Sarah, nicheck upande wa pili kujibu
Hhahaha shem siku kama ya leo kukaba ni unkwepabo
Kila mtu na dongo lakeSasa wewe huoni tumelingana umri? Utazeeka uniache