gize
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 202
- 134
Heshima kwenu wana Jukwaa
Natumaini kwa uwezo wake Mungu wote hatujambo. Kama kuna mgonjwa basi Namuomba Mungu amponye ili tuendeleze ujenzi wa taifa letu.
Nami leo Najitokeza katika jukwaa hili kutafuta Mke wa maisha yangu (Nipo serious katika hili),
A; Sifa zangu
Umri: Miaka 30
Kazi: Ninafanya kazi na ninakipato cha kunitosheleza kabisa kumudu mahitaji muhimu
Elimu: Nina degree moja
Urefu: Ni mrefu kiasi (Setimita 180) na Mwembamba kiasi
Rangi: Ni mweusi kiasi
Dini; Mkristu
Watoto; Sina mtoto
Matumizi ya vileo: Situmii Pombe ya aina yoyote wala kuvuta sigara etc
B; Sifa za Mke ninayemtafuta
Umri: Miaka 25-28
Dini; Mkristu
Elimu: Kuanzia Diploma na kuendelea
Munekano: MWEMBAMBA na MREFU angalau kuanzia Sentimita 170 na kuendelea (Ni moja wapo ya kigezo muhimu sana kwangu), pia ukiwa na mvuto nitashukuru zaidi
Kabila: awe kati ya - Mnyambo, Mkerewe,Mbondei, Mmeru, Mmburu, Mnyaturu, Mdigo au Mnyamwezi.
Kuzaa: Awe ambaye hajawahi kuzaa
Kilevi: Asiwe anakunywa pombe ya aina yoyote wala kuvuta Sigara etc
Rangi: Awe mweusi kiasi/ maji ya kunde
Kazi: Kama unayo kazi tayari nitashukuru zaidi lakini hata kama hauna hakuna shida
TABIA: AWE NA TABIA NJEMA NA ALIYETAYARI KUPIMA VIRUS VYA UKIMWI, NA AMBAYE ANAPENDA KUFUNGA NDOA MWAKA 2014-2015.
Tafadhali kwa MELEZO MENGINE YA NDANI ZAIDI NA KUFAHAMIANA KWA wale TU wanaokidhi vigezo tajwa hapo juu tafadhali NITUMIE PM yako au tuwasiliane kwa E-mail; gizewise@yahoo.com, BILA SHAKA YOYOTE PM na E-mail zote zitajibiwa bila shida na kwa haraka.
Tafadhali kama hauna vigezo tajwa usijisumbuke kuni PM wala kunitumia e-mail.
Asanteni; Natumaini nimeeleweka.
Natumaini kwa uwezo wake Mungu wote hatujambo. Kama kuna mgonjwa basi Namuomba Mungu amponye ili tuendeleze ujenzi wa taifa letu.
Nami leo Najitokeza katika jukwaa hili kutafuta Mke wa maisha yangu (Nipo serious katika hili),
A; Sifa zangu
Umri: Miaka 30
Kazi: Ninafanya kazi na ninakipato cha kunitosheleza kabisa kumudu mahitaji muhimu
Elimu: Nina degree moja
Urefu: Ni mrefu kiasi (Setimita 180) na Mwembamba kiasi
Rangi: Ni mweusi kiasi
Dini; Mkristu
Watoto; Sina mtoto
Matumizi ya vileo: Situmii Pombe ya aina yoyote wala kuvuta sigara etc
B; Sifa za Mke ninayemtafuta
Umri: Miaka 25-28
Dini; Mkristu
Elimu: Kuanzia Diploma na kuendelea
Munekano: MWEMBAMBA na MREFU angalau kuanzia Sentimita 170 na kuendelea (Ni moja wapo ya kigezo muhimu sana kwangu), pia ukiwa na mvuto nitashukuru zaidi
Kabila: awe kati ya - Mnyambo, Mkerewe,Mbondei, Mmeru, Mmburu, Mnyaturu, Mdigo au Mnyamwezi.
Kuzaa: Awe ambaye hajawahi kuzaa
Kilevi: Asiwe anakunywa pombe ya aina yoyote wala kuvuta Sigara etc
Rangi: Awe mweusi kiasi/ maji ya kunde
Kazi: Kama unayo kazi tayari nitashukuru zaidi lakini hata kama hauna hakuna shida
TABIA: AWE NA TABIA NJEMA NA ALIYETAYARI KUPIMA VIRUS VYA UKIMWI, NA AMBAYE ANAPENDA KUFUNGA NDOA MWAKA 2014-2015.
Tafadhali kwa MELEZO MENGINE YA NDANI ZAIDI NA KUFAHAMIANA KWA wale TU wanaokidhi vigezo tajwa hapo juu tafadhali NITUMIE PM yako au tuwasiliane kwa E-mail; gizewise@yahoo.com, BILA SHAKA YOYOTE PM na E-mail zote zitajibiwa bila shida na kwa haraka.
Tafadhali kama hauna vigezo tajwa usijisumbuke kuni PM wala kunitumia e-mail.
Asanteni; Natumaini nimeeleweka.