Natafuta mke

Wanapatana tu huko kimya kimya wakati tumewasaidia. Sio ustaarabu kabisa🤣🤣🤣
bad thing, na kuachana wanaachana kimya kimya, wangetupa taarifa tuje na matarumbeta kabisa..!😂😂
 
bad thing, na kuachana wanaachana kimya kimya, wangetupa taarifa tuje na matarumbeta kabisa..!😂😂
Wengine wanaacha miaka ipite miingi ndio waje watupe mrejesho. Wakati huo hata tushasahau matukio. Wawe wastaarabu mambo yawe updated kila hatua🤣
 

Andika tu kiswahili mkuu, watakuelewa...
 
Wengine wanaacha miaka ipite miingi ndio waje watupe mrejesho. Wakati huo hata tushasahau matukio. Wawe wastaarabu mambo yawe updated kila hatua🤣
😂😂
Sindiyoooo..!!
Hata ile wamekutana picha hazifanani na ukhalisia watushirikishe, nauli zimeliwa watuambie, waliambiwa urefu wa 6" wamekuta mtu mfupi kama ndoo wasitufiche..!😂
 
😂😂
Sindiyoooo..!!
Hata ile wamekutana picha hazifanani na ukhalisia watushirikishe, nauli zimeliwa watuambie, waliambiwa urefu wa 6" wamekuta mtu mfupi kama ndoo wasitufiche..!😂
Lazima watupe taarifa, mambo ya kukaa kimya ni kumkaribisha shetani tu. Wawe kama yule mama alikuta mtu sura haitoshi kwa camera🤣🤣
 
Lazima watupe taarifa, mambo ya kukaa kimya ni kumkaribisha shetani tu. Wawe kama yule mama alikuta mtu sura haitoshi kwa camera🤣🤣
😂😂😂😂
Ila humu duniani kuna mambo mengi mno jamani tchaaah'..!🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…