Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
bad thing, na kuachana wanaachana kimya kimya, wangetupa taarifa tuje na matarumbeta kabisa..!😂😂Wanapatana tu huko kimya kimya wakati tumewasaidia. Sio ustaarabu kabisa🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bad thing, na kuachana wanaachana kimya kimya, wangetupa taarifa tuje na matarumbeta kabisa..!😂😂Wanapatana tu huko kimya kimya wakati tumewasaidia. Sio ustaarabu kabisa🤣🤣🤣
Wengine wanaacha miaka ipite miingi ndio waje watupe mrejesho. Wakati huo hata tushasahau matukio. Wawe wastaarabu mambo yawe updated kila hatua🤣bad thing, na kuachana wanaachana kimya kimya, wangetupa taarifa tuje na matarumbeta kabisa..!😂😂
Eeeh kumbe hata tukiwa na watoto Hadi wawili anatukubali?
Hello there, I'm a 41-year-old man working in the education sector with a Master's degree and currently pursuing a PhD. I have an amazing 11-year-old son. I'm searching for a life partner aged 30-41, preferably with 0-2 kids and a stable income. Let's embark on this beautiful journey together.
😂😂Wengine wanaacha miaka ipite miingi ndio waje watupe mrejesho. Wakati huo hata tushasahau matukio. Wawe wastaarabu mambo yawe updated kila hatua🤣
Mndewa huyo hapo hutaki tuvae sare mwaka huu
Lazima watupe taarifa, mambo ya kukaa kimya ni kumkaribisha shetani tu. Wawe kama yule mama alikuta mtu sura haitoshi kwa camera🤣🤣😂😂
Sindiyoooo..!!
Hata ile wamekutana picha hazifanani na ukhalisia watushirikishe, nauli zimeliwa watuambie, waliambiwa urefu wa 6" wamekuta mtu mfupi kama ndoo wasitufiche..!😂
Ni mubaba 😂😂
Upoje 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wandewa wanakuja
mnasumbua watu na masters zenuHiki ni kiingereza cha sisi wenye Masters...hebu tuache
mubaba anatafuta mke jamaniNi mubaba 😂😂
golden chance hii itumieni vyemaEeeh kumbe hata tukiwa na watoto Hadi wawili anatukubali?
😂😂😂😂Lazima watupe taarifa, mambo ya kukaa kimya ni kumkaribisha shetani tu. Wawe kama yule mama alikuta mtu sura haitoshi kwa camera🤣🤣
Hiyo picha Iko wapi Sasa?Niko nahema hapaMndewa huyo hapo hutaki tuvae sare mwaka huu
Ngoja kwanza tuangalie...kasema anafanya PHD mbona hajasema level ya elimu inayotakikana?golden chance hii itumieni vyema
Angalia notification zako vizuri 😆😆Hiyo picha Iko wapi Sasa?Niko nahema hapa
kwa kingereza hicho mahi diha ukielewa tu manake umefuzuNgoja kwanza tuangalie...kasema anafanya PHD mbona hajasema level ya elimu inayotakikana?