kwann jinsia ke alete Uzi kama huu??Uzi kama huu angeleta jinsia ke ndio mngeona dunia haina usawa
Angekutana na kila aina ya kejeli
Nwei,kila la heri
ππππ Mchukue dada ila akuonyeshe salio la bankHuyu mi ndio namtaka,naenda kujiotea moto tu aliyeokita kuni sijui Yuko wapi!πππ
πππππ Sasa hajasema naye km ulisi upo??Wa Shabaniπ€£π€£π€£
ππππ kula chuma hikoπ€£π€£π€£Kwani gigy money si ndio anaimbaga Nampa papa na ugali wa donaπ€£π€£π€£papa nahisi atakuwa samaki
Ujana ulikula na nani unakuja kutafuta mke ukiwa umebakiza miaka miwili uvute?Nipo dar na nahitaji mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ambaye atakuwa mke wangu. Muhimu awe mkweli na muamunifu na umri wake usiZidi miaka 54 Mimi umri wangu ni miaka 60 na tuwasiliane basi tuweze fahamiana
Kweli ni mstaafu lakini kikokoto hakikuwa rafiki kwake, mafao yote keshayamaliza. Ukimkubalia ujue kila siku ni mwendo wa dona kwa kauzuMie kanivutia huyu nimehisi kama mstaafu vileππππ
Kama hao vijana wa 40+ ni wazee sisi wa 70+ mtatuita nani?Wanaowaita watu wenye 40+ ni wazee labda ni watoto wa miaka
Hata mimi ndio nawashangaa.... maana mtu wa 45 ndio damu inachemka....kama kapata balehe......Kama hao vijana wa 40+ ni wazee sisi wa 70+ mtatuita nani?
Mtu akufie shida nini 60 eti kero mara ufumaniwe na kijana mara kuzaa naye shida anywe viagra ndio apige kimoja azimie . Mara amshwe babu dawa zako. Mmh !Shoo we humuwezi kwani?
Mapenzi ya dhati mchezo nini? π€£π€£π€£Hivi nyie wadada wa JF hakuna mwenye mapenzi ya dhati?mbona wote mnawaza mafao ya mchumba badala muwaze ndoa,mkoje lakini?
Vipi kwaniππππmagumu?Mapenzi ya dhati mchezo nini? π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£Aiseee Da mau nimekushindwa!Hata vijana wanakufa bwana na wanapaka mkongo usiwaamini sana vijana hao ni pasua kichwa,chagua Mzee ukale maisha Binti....Hawa wa umri huu watoto wao wanafanya kazi we ukifika ni safari tu za Tarangire na magoroto Lamomy njoo mshauri shoga yakoMtu akufie shida nini 60 eti kero mara ufumaniwe na kijana mara kuzaa naye shida anywe viagra ndio apige kimoja azimie . Mara amshwe babu dawa zako. Mmh !
Mie siwezi hiyo kitu.
Labda awe anakitu fulani je hi mitoto yake na majina yao. Umefuata ninj kwa baba umekosa warika lako?
ππ Mmmh mbona tunatishana Tena?yaani biriani alikula na nani mi ndio nile kauzu kweli?Kweli the world is unfair πKweli ni mstaafu lakini kikokoto hakikuwa rafiki kwake, mafao yote keshayamaliza. Ukimkubalia ujue kila siku ni mwendo wa dona kwa kauzu
Yaani umeukaririπ€π€π€?hata hivyo Gigy Hana akili ya kuandika huu ujinga lazima aliandikiwa..ππππ kula chuma hiko
Akitaka na ugali wa dona namsongea
Atake nini tena namtendea
Tiba yaki daktari napona
Naacha magongo natembea
Atake nini tena
Sijawaga na mapene
Napenda safari
Zile rhumba masebene
Motema na ngai
Natamani aseme anachotaka nimpatie
Natamani ailoeshe navyokata nimpatie
Na si anapendaga sana samaki we mpatie
Nampa papa
Sangara Kibua haitoshi we mpatie
Nampa papa
Nampa nampa nampa, nampa papa
Nampa nampa nampa, nampa papa
Shida inakuja wakiniona nae wananuna eeh
Kwenye stori zetu nimtajaga ee wanauchuna ee
Hata kwenye simu yangu ukipijaga we wanaguna ee
Wamekusema ni uvumilivu wala huruma ee
Hawajui nimenasa mie
Namba tasa mie
Ye funguo na kitasa mie
Natamani aseme anachotaka nimpatie
Natamani ailoeshe navyokata nimpatie
Na si anapendaga sana samaki we mpatie
Nampa papa
Sangara, kibua haitoshi we mpatie
Nampa papa
Nampa nampa nampa, nampa papa
Nampa nampa nampa nampa papa
Na si anapendaga sana samaki we mpatie
Nampa papa
Sangara, kibua haitoshi we mpatie
Nampa papa
Nampa nampa nampa, nampa papa
Nampa nampa nampa, nampa papa
Nampa papa
Nampa papa
Lazima Ulisi utakuwepo si utakuwa mkewe bwanaππππππππ Sasa hajasema naye km ulisi upo??