Natafuta mke

Hata mke wa mtu??

Anyways warembo wa JF nawaombeni hii nafasi mumuachie Lamomy
🀣🀣🀣🀣 Ujue wewe una ufala mwingi, mimi nilishasema nitajioa mwenyewe sijaona mwanaume wa kunimudu
 
Mkuu utawaweza wasimbe wa humu, wengi wameolewa na kuachika
 
🀣🀣🀣🀣 Ujue wewe una ufala mwingi, mimi nilishasema nitajioa mwenyewe sijaona mwanaume wa kunimudu
Tulia uolewe wewe, acha kukimbia kimbia. Mume ameshapatikana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mkuu Peribus kuanzia sasa nakutambua kama shemeji yangu. Nakukabidhi ndugu yangu Lamomy , enendeni mkazeeke pamoja, mkifanana kwa sura na tabia

Joannah na Missy Gf njoo mumjue mela wenu kwa lamomy
 
Kapatika na uku mlande naye anakiu kwerkwer
 
Tulia uolewe wewe, acha kukimbia kimbia. Mume ameshapatikana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mimi mume wangu naweka special order kwa Mungu. Hawa ready made siwataki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…