Natafuta mme aliye serious

Natafuta mme aliye serious

Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30

Kazi yangu mwl...natafuta mwanaume aliye tayari tufunge ndoa kuanzia 30yrs hadi 45

Awe muislamu na mapenzi ya dhati!

Aliye tayari aje Pm

Ahsante!
Mfunge ndoa au muoane tu? Saivi ndoa ngumu, wanawake mnabadilika kama vinyonga, inabidi kufunga ndoa mkifikisha 50yrs
 
Kuwa makini humu,
Kuna wanaume wanajidai wanawake na wanawake wanajidai wanaume,

So never take JF serious.
 
Opportunity Never Comes twice again mliokuwa na ndoto ya mke kajitokeza huyo anatafuta mume halafu mulalamike wanawake hakuna
 
Kwa wale Waislamu, kwa mujbu wa mafundisho ya Dini mambo matatu hayapaswi kuchereweshwa; anayetaka kusilimu, anayetaka kuolewa na maiti azikwe haraka pindi anapo fariki. Hivyo basi anusuriwe binti huyo
O
 
Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30

Kazi yangu mwl...natafuta mwanaume aliye tayari tufunge ndoa kuanzia 30yrs hadi 45

Awe muislamu na mapenzi ya dhati!

Aliye tayari aje Pm

Ahsante!

NIPE PICHA YAKO INBOX
 
Back
Top Bottom