Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mimi nampemda mchina wangu wew sikuiz anajua kusoma kiswahili shida tupuDahhh!!toka jana unakimbia fursa🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nampemda mchina wangu wew sikuiz anajua kusoma kiswahili shida tupuDahhh!!toka jana unakimbia fursa🤣🤣
Hao wakikomaa kujua kitu huwezi mrudisha nyumaMimi nampemda mchina wangu wew sikuiz anajua kusoma kiswahili shida tupu
Sasaiv sina aman na simu yangu anasoma kila kituHao wakikomaa kujua kitu huwezi mrudisha nyuma
Kuna watu ukiwaambia upo wakati hufika kwa hawa kinadada hutamani bora wapate tu bwana yeyote alimradi awe anapumua wanakataa.aisee
pole sana dear
subiri waje
aah thubutu , unakula mvua za matusi ya kutoshahabari za uke wenza angeacha kukutukana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu ukiwaambia upo wakati hufika kwa hawa kinadada hutamani bora wapate tu bwana yeyote alimradi awe anapumua wanakataa.
Unadhani huyu alipokuwa bado kigori ungemwambia habari za uke wenza angeacha kukutukana?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nicheke kwanzamkuu, hadi wewe ?
Utafika mbali 😅
Kusobha kikolo,Je, yaliyomo yamo?? Nikimaanisha una tako?? Maana mwanamke bila ya tako ni msela mwenzetu tu.
Ungetupiamo na kapicha maana tunaweza kuja kichwa kichwa inbox kumbe una sura kama Bambo
Kyala jo aumbile ifyema ifinywam kwahiyo hakuna dhambi hapo.Kusobha kikolo,
Untile Kyala , amasyo agho mabhibhi
Vp huko pm ulishapata ufumbuzi kabla sijajaNatafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislamu
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayari
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Subiri ukiona ndio uje hapa kuchangiaNasikiasikia kuwa ndoa ni utapeli eti
Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislamu
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayari
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
1-0.Trust Me, hakuna mechi inyoanza 1 bila, moja moja nk