Natafuta Mme !


Wewe unaishi wapi?

Kwani mtaani kwenu hakuna wanume wenye hizo sifa?

Na kama hawapo, wewe unaelimu gani? Maana kama una masters na kwenda juu usingekuwa unakaa huko ...

Njoo mtaani kwetu ...
 
Masters inahusika vip? we unatafuta mtu wakumpiga pesa tu
 
Masters [emoji12]
 
Apo unatafuta masters sio mume tuliaa tutakupiga mimba uzalie kwenu basiiii.
 
Mimi sina masters ila nmeajiri watu wawili wenye masters kwa kampuni yangu, nipo interested.
 
Kama umri ni 25 nakuendelea utapata jiandae kukaa eda nipe namba ya simu babu yangu yupo anatafuta dogodogo umri ni 92 ukifika mwezi wa nne
 
Hahaha wenye masters wanahaha kutafuta mume.[emoji23] [emoji23]
 
masters na ndoa vina uhusiano upi?ikifika 38 utatafta hata wa la saba hutampata wew endelea kuchagua
 
Leta mrejesho basi, hii thread Ina miaka 10 Sasa, km Ulipata mme ukabahatika kupata mtoto bila shaka atakuwa mkubwa anaenda shule Sasa!
 
kama haujatumwa, basi utakuwa unafanya Comedy!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…