Visenti
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 1,025
- 329
Baby dont worry, Naona watu wanakukatisha tamaa, usijali , nitumie CV yako mi niko Tayari ikiwezekana na Picha, halafu fafanua kuhusu mwanaume mzuri , una maana gani (you mean it matters on Height, Colour/complexion, weight and eyes- give specifications), pia fafanua ni masters gani unazotaka na je lazima uwe na ajira, kwa kuwa mtu unaweza kuwa na PHD au Masters lakini ni jobless, Pia unamsimamo gani kuhusu Dini, pombe na sigara? please respond as soon as you can!,ma email is msambatavango@hotmail.com, nimejaribu kutuma ujumbe ktk email yako lakini imegoma kwenda.