Natafuta Mme !

Natafuta Mme !

Yote hayo mliyosema yawezekana. Mambo kwa mtandao siku hizi. ameona ajitokeze, nyie mwampiga madongo, anaweza kuwa bora kuliko hao mliowatafuta wenyewe. Mbona hatulalamiki matangazo kama hayo yakitokea kwenye mtandao. WE dada endelea kutafuta mchumba huenda ukapata. Ni muhimu kutilia maanani elimu kwa sababu ndio ufunguo wa maisha. Ukisema mafanya biashara anaweza kufilisika.
 
mume wa mtu ni hutoka kwa Mungu sasa wewe unataka mume wa kutoka jf siku mbili ndoa inakua ndoano pole!!!
 
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters na kupanda juu!

any one interested ani PM mengine tutafahamiana zaidi

...huoni kwamba kwa kuweka kigezo cha elimu unakosa waume bora? Vipi kama niko interested lakini Masters sijaiweka kibindoni bado lakini naendelea na Coursework?

...hivi wewe mwenyewe unazo digrii ngapi? Ni muhimu kufahamu kwani isijekuw wewe huna kabisa lakini unatafuta mtama kwa warembo wenzako!

...nakupongeza kwa kuwa huru na kutangaza kile unachotaka. U mrembo jasiri na mwenye uthubutu. Zama za mwanamme kuwa ndo wa kwanza ku-make the first move zimekwisha!

...I wish you best of luck in your search for the man of your dream!
 
tatizo ni ,kuwa unatafuta mume, ungekuwa unatafuta mchumba ambaye baadaye atakuwa mume wako, nadhani ungempata kirahisi. Mume unakuwa naye mkishaoana, unapotafuta mtu wa kukuoa, huyo hajawa mume bado
 
sawa hayo ni mawazo yako!siwezi kudevalue mawazo yako!but im serious

We umeshamaliza.
Toa simu yako ili watu wawasiliane nawe. e-mail haifai, watu wataogopa usije kuwa ni mama wa maigizo, ndevu mpaka chini ya pua na koromeo la besi.

Lete simu ili tuwasiliane hapa mwanza.
 
Nimeguswa na hii mada nami naomba kuchangia kama ifuatavyo.
Dada mtafuta mume nakupongeza sana kwa ujasiri wako kwani yataka moyo kwakweli kujinadi si kazi ndogo,Nahisi wewe sio mwanamke pengine ni mwanaume umeamua kuleta mizinguo JF ila kama kweli ni mwanamke fikiria maisha yako ya awali kabla yakutimiza hiyo miaka 28 ulikua ukiisije maana uzuri wa mke ni tabia kama mitaani,kazini(kama mfanyakazi) barabarani hujapata mume wakukuoa jichunguze pengine unatabia fulani, Kama kweli uko siria Muombe MUngu atakupa mume mzuri na utaolewa njia uliyochukua itakuletea matatizo badala yakutafuta mume utakua umejitafutia matatizo kuwa makini na usijirahisi kwa kigezo kuwa umechelewa kuolewa unaweza kuolewa na miaka 40 kama Mungu kapanga na usipoolewa sio mwisho wa maisha unaweza kuenjoy life hata bila kuolewa dada yangu.
 
We umeshamaliza.
Toa simu yako ili watu wawasiliane nawe. e-mail haifai, watu wataogopa usije kuwa ni mama wa maigizo, ndevu mpaka chini ya pua na koromeo la besi.

Lete simu ili tuwasiliane hapa mwanza.
jamani siku hizi watu wanakutana kwa njia zote.mimi naona kama waafrica wengi wakisikia mtu anatafuta mme au mke kwenye internet wanaona eeee huyu sas yupo desperate.mtu akisema anatafuta partner siyo kama tunaowana kesho yake.tutapata kujuana.hii ni njia rahisi ya kukutana na watu siku hizi
 
Jamani mme na mke bora anatoka kwa Mungu si vinginevyo mwombe atakuonyesha tu.
 
Somebody sent me this message by SMS and I don't understand, shall you please help ? here is the message
"iné uko aye ? Mi niko safi. Nsigaj gukora rimwe nce ntangura vacances mercre umbay kure noj kukuraba. Sawa rero nari ndagukumbuy Chéri wawe araho ? Uti bizu"
 
Kuna uwezekana nikweli anatafuta mume na hapa ndio mahali alipohisi patamsaidia kukamilisha hilo inawezekana amefikia uwamuzi wa kuja hapa baada ya kuona wavulana wengi wamekuwa wakiutumia mwili wake na kukimbia na sasa ameamuwa kutowa tangazo ili apate mtu wa kumstiri lakini swali linakuja hapa Jee itakuwaje ikiwa atakutana na huyomwenye sifa alizotaja na ikawa huyo jamaa hana mapenzi na msichana kama yeye
 
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters na kupanda juu!

any one interested ani PM mengine tutafahamiana zaidi

Dada mi nimekupenda sana, it seems you ARE VERY aggresive in searching opportunities, I have got MBA(From Yale University), but before we begin our business, you also ought to stipulate your education level, kwani wewe unataka mwenye masters mwenyewe unayo? Would u give more details about yourself, like ur height, shape, colour, occupation, interests etc
 
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters na kupanda juu!

any one interested ani PM mengine tutafahamiana zaidi...Last edited by PainKiller; 30th May 2008 at 08:10 PM. Reason: prefix removed

Mh...mie ni single/bachelor with required qualifications lakini sijui kwanini machale yananicheza kila nikitaka kum-PM..

Halafu mbona inaonyesha kuwa user name yako ni NG'WALU but post yako iko edited na PainKiller!!

Or is PainKiller among the mods?...who is who... au ndo mambo ya kuviziana kwa manati

Thanks/Absolute
 
Mh...mie ni single/bachelor with required qualifications lakini sijui kwanini machale yananicheza kila nikitaka kum-PM..

Halafu mbona inaonyesha kuwa user name yako ni NG'WALU but post yako iko edited na PainKiller!!

Or is PainKiller among the mods?...who is who... au ndo mambo ya kuviziana kwa manati

Thanks/Absolute
...Absolute, be careful usije kukumbana na majini mahaba si unajua wanakuja kwa njia nyingi hao!!! Teh! tehhh! tehhhhhhhh!!!
 
...Absolute, be careful usije kukumbana na majini mahaba si unajua wanakuja kwa njia nyingi hao!!! Teh! tehhh! tehhhhhhhh!!!

Duh....hapo ni kweli.

Maana m2 akikubembeleza akupe lift au free lunch/stuff u should think twice (behind each compliment, there should be win-win si2ation)
 
Masters ya nini? Ya mambo ya ndoa au...tafadhali nifafanulie mimi yangu ya uchumi...
 
It is very very interesting...!

Naamini mtoa mada amefurahi sana kwa jinsi wachangiaji wanavyochangia. Sijawahi kufuatilia hoja tangu mwanzo mpaka mwisho, lakini hii nimeweza.

1. Kwanza mtoa mada kwangu anaonekana mtu smart sana - awe kweli msichana au vinginevyo.

2. interesting zaidi haijawa hoja yenywewe, jambo ambalo pia mtoa mada kwa vyovyote alitarajia. chakufurahisha kimekuwa jinsi watu wanavyojibu. nakubalina na wachache waliotaka kunyoosha pale wengine walipopotosha kwa njia fulani na hata kumkatisha tamaa mtoa mada.

3. Iwe kwa kiingereza au kijerumani na mikiki mingine mingi watu waliyoitokeza inaonyesha wazi kuwa watu wameburudika na hoja lakini niweupe au watupu kichwani sana. wako empty hatari...!

4. wakati huu ambao si rahisi kujua mtoa mada anatafuta nini, na anaposema mume na masters anamaanisha nini, sio sahihi kubp na emotions, maana nina wasiwasi anatafuta kitu kingine kabisa.

5. Pia kama mtu anamtazamo fulani kwa sababu ya mafundisho fulani au background fulani, kwa muda fulani, haitoshi kuwa sahihi kwa kila mtu na kwa wakati wote.

Tuendelee na utamu.
 
Back
Top Bottom