mjumbe wa bwana JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 5,252 Reaction score 6,118 May 29, 2023 #161 Ww ndo uje PM wanaume sikuizi tupo wachache Kama unataka wavulana watajaa huko PM Kama upo serious njoo PM
Ww ndo uje PM wanaume sikuizi tupo wachache Kama unataka wavulana watajaa huko PM Kama upo serious njoo PM
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,155 Reaction score 36,337 May 29, 2023 #162 Kantri njoo mshkaji wangu kuna jimbo lipo wazi huku, upunguze stress za kuachwa [mention]Countrywide [/mention]
Kantri njoo mshkaji wangu kuna jimbo lipo wazi huku, upunguze stress za kuachwa [mention]Countrywide [/mention]
Countrywide JF-Expert Member Joined Mar 2, 2015 Posts 20,694 Reaction score 32,527 May 30, 2023 #163 Cute Wife said: Kantri njoo mshkaji wangu kuna jimbo lipo wazi huku, upunguze stress za kuachwa [mention]Countrywide [/mention] Click to expand... Nina pisi kali mno alafu situmii nguvu, zinakuja zenyewe free. Hivi kwa nini hukuwa pisi kali? Pengine ungepata nafasi ya kuwa na mtu kama mimi
Cute Wife said: Kantri njoo mshkaji wangu kuna jimbo lipo wazi huku, upunguze stress za kuachwa [mention]Countrywide [/mention] Click to expand... Nina pisi kali mno alafu situmii nguvu, zinakuja zenyewe free. Hivi kwa nini hukuwa pisi kali? Pengine ungepata nafasi ya kuwa na mtu kama mimi
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,155 Reaction score 36,337 May 30, 2023 #164 Countrywide said: Nina pisi kali mno alafu situmii nguvu, zinakuja zenyewe free. Hivi kwa nini hukuwa pisi kali? Pengine ungepata nafasi ya kuwa na mtu kama mimi Click to expand... Ushawai kuniona?!! Pole sana wewe chukua fursa hiyo tunajua huna demu ndiomana una makasiriko muda wote [emoji13]
Countrywide said: Nina pisi kali mno alafu situmii nguvu, zinakuja zenyewe free. Hivi kwa nini hukuwa pisi kali? Pengine ungepata nafasi ya kuwa na mtu kama mimi Click to expand... Ushawai kuniona?!! Pole sana wewe chukua fursa hiyo tunajua huna demu ndiomana una makasiriko muda wote [emoji13]