Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Dau liwe kubwa boss weekend keshoNakazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dau liwe kubwa boss weekend keshoNakazia
Mi siyo mstaafu mbona 🙄Huku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?
Upige mwingi Niko njiani nakaribia 😎Dau liwe kubwa boss weekend kesho
Ahahahha embu sikia mimi mtakatifu ujue mwezi wangu wa toba uhuuunaweka picha ya bikira Maria na dhamb zako unawaza ujinga mda wote 😀
hizi taarifa mbona zimechelewa kunifikia 😂Nitatulia na mama mtu Leejay49
Huo wivu, mbona wewe juzijuzi ulikuja hapa JF na tangazo la kutafuta mchumbaHuku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?
Hujui usemacho. Kwa masharti hayo yote kwani wewe malkia wa uingereza? Ndiyo maana mnakufa manungaembeMwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Ndio zimeshakufikia hivyohizi taarifa mbona zimechelewa kunifikia 😂
Ww una kazi kwani?Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Imeisha hiyo bossUpige mwingi Niko njiani nakaribia 😎
Happy umefunga PM mama wa wanangu. Ukiamka, utanitext mama angu. Pole na shughuli za hapa na pale. You're missed.Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Umenipata kabisa mpenzi.Sifa zote hizo ninazo.Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Hahaaa asiwe na mtotoMwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Yes vipi wewe hapoUko poa mdada?
nakutakia kila la heri