mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kipato kinanitupa mkono 😂Mdogoangu si ulisema unatafuta mke huyo kajitokeza ushindwe wewe [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kipato kinanitupa mkono 😂Mdogoangu si ulisema unatafuta mke huyo kajitokeza ushindwe wewe [emoji1787][emoji1787]
What do you have to offer in return? Apart from sex (maana mbususu isn't a big deal, naweza ipewa from other women napotaka).
I insist: Nikikuoa, what do you have to offer in return?
Life abides to reciprocality.
-Kaveli-
hahahhhah acha kumvunja heart mwenzio bwanaaaaHuku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?
Bro si atakupa watoto, Unafeli wapi kula chuma hicho [emoji1787]
Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Tuma picha yakoMwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Me Niko pia. UmenitengaYes vipi wewe hapo
NipoMe Niko pia. Umenitenga
Ila umekuwa kimya, bado nasubiria mpaka sasaNipo
Dear Happiness Mwanaume mwenyewe uliyekuwa unamtafuta ushampata na si mwingine bali ni BabaMorgan husband material. Njoo nikuonyeshe mwanamke anavyotakiwa kupendwa.Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa.
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
wewe huna mtoto?Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa.
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.