Natafuta mpenzi/mume

Natafuta mpenzi/mume

Kama wewe ni tapeli kama wanavyodai nakuombea uchezewe mpaka uombe tui ukishtuka 40 hii hapa ili iwe fundisho kwa matapeli kama ww mnakera kinoma
 
Habari zenu,

naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.

WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.

WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.

PM kwa mazungumzo zaidi.
mamboooooooo
 
Matapeli wamejaa haka kadada ni katapeli kashawahi undiwa mpaka uzii yaani kanatafuta wa kumpiga etii natafut mume !! Isitoshe huyu dada siyo mara ya kwanza na nitapeli haswa kwa hiyo kuweni makini ndugu zangu .Mtalia muda si mrefu .
 
Habari zenu,

naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.

WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.

WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.

PM kwa mazungumzo zaidi.
Sharti lako la mwisho; asiwe na mke!! Unataka uwe peke yako?! Sijui km utampata mwanamme wa hivo. Sanasana atakudanganya tu.
Tunajijua wenyewe
 
Vijana hawataki kusikia mambo ya ooh! badae tuwe mke na mme wao wanapenda tu mgegedo tu, kuwa makini sana ndg
 
  • Thanks
Reactions: sab
Habari zenu,

naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.

WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.

WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.

PM kwa mazungumzo zaidi.

Hiii
 
Habari zenu,

naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.

WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.

WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.

PM kwa mazungumzo zaidi.
Wame Ku pm ata ujajibu acheni izo
 
Back
Top Bottom