Mr Siagmfu
Member
- Mar 30, 2018
- 10
- 3
Hey
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambooooooooHabari zenu,
naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.
WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.
WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.
PM kwa mazungumzo zaidi.
Tapeli huyo ohoon mremb ila pm yko imesha jaaa
Huu uzi ushafutwa lakini amini huyu ni tapeli .Iko jukwaa gani hii?
Cm yangu hainipeleki kwa link
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii kitu hata mimi imenishangaza yaani ile paaaap after kujiunga nataka Mme
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe tapeli? [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]Huu uzi ushafutwa lakini amini huyu ni tapeli .
Wewe hutaki mkuu?Ngoja waoaji waje...
Sharti lako la mwisho; asiwe na mke!! Unataka uwe peke yako?! Sijui km utampata mwanamme wa hivo. Sanasana atakudanganya tu.Habari zenu,
naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.
WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.
WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.
PM kwa mazungumzo zaidi.
Unapatikana vipi au ndakuona wapi mke wangu mtatajiwaVijana hawataki kusikia mambo ya ooh! badae tuwe mke na mme wao wanapenda tu mgegedo tu, kuwa makini sana ndg
Habari zenu,
naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.
WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.
WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.
PM kwa mazungumzo zaidi.
Wame Ku pm ata ujajibu acheni izoHabari zenu,
naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.
WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.
WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.
PM kwa mazungumzo zaidi.