Aya Mimi ntakuamini na wengine jeeOk wacha nikutowe wasi wasi mimi na shida na raha ni watu wawili tofauti lakini no watani sana na ni shemeji yangu.
Kuna siku ye mwenyewe alimsababishia mshana jr kuonekana ni mmoja, ilichukua mda watu kuamini hicho ila uthibitisho anao mshana na alinambia walishawahi kuonana n wakapiga stori. Sasa basi kwa mpango hata hapo hamtaamini kwa anavyopenda kunitania sana na mpaka nakosa raha, narudia tena shida na raha ni watu wawili tofauti na ndie alienishawishi kujiunga. Mshana njoo uwaaminishe hili.
kumbe imewezekana enh....usilalamike sasa kuwa umekosa...nipo hapa nakungoja[emoji1] [emoji1] [emoji85] [emoji85]
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Jinsia ni muhimu taja mkuu
STUPID QUESTION.....WAULIZE JF WALIWEKA JUKWAA HILI LA NINI NAWEWE UNAFUNGUA JUKWAA HILI KWA NINI..UCHA UF..LAMiaka 30...huko kgamboni hamna wadada wanaotaka waume wa kuishi nao?!
Hamna jukwaa la madomo zege wwSTUPID QUESTION.....WAULIZE JF WALIWEKA JUKWAA HILI LA NINI NAWEWE UNAFUNGUA JUKWAA HILI KWA NINI..UCHA UF..LA
Zeruzeru yupo, vip tukuleteeeWakuu habari za mihangaiko ya kutwa nzima.
Napenda kuwasilisha mada yangu hapa mezani lengo lango niko serious kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.....
Ni kijana mwenye umri wa miaka 30 kwasasa nipo Dar Kigamboni niko na kazi yangu ila sitoitaja hapa kwa yule ambae yuko serious kama mimi ani pm tuzungumze maswali na majibu yote yatapatikana.