Natafuta mpenzi wa kuishi nae niko serious

Natafuta mpenzi wa kuishi nae niko serious

Ok wacha nikutowe wasi wasi mimi na shida na raha ni watu wawili tofauti lakini no watani sana na ni shemeji yangu.
Kuna siku ye mwenyewe alimsababishia mshana jr kuonekana ni mmoja, ilichukua mda watu kuamini hicho ila uthibitisho anao mshana na alinambia walishawahi kuonana n wakapiga stori. Sasa basi kwa mpango hata hapo hamtaamini kwa anavyopenda kunitania sana na mpaka nakosa raha, narudia tena shida na raha ni watu wawili tofauti na ndie alienishawishi kujiunga. Mshana njoo uwaaminishe hili.
Aya Mimi ntakuamini na wengine jee
 
Miaka 30...huko kgamboni hamna wadada wanaotaka waume wa kuishi nao?!
STUPID QUESTION.....WAULIZE JF WALIWEKA JUKWAA HILI LA NINI NAWEWE UNAFUNGUA JUKWAA HILI KWA NINI..UCHA UF..LA
 
Your HIV status please? Make hamuwekagi na hii ndiyo ya muhimu kwanza
 
Wakuu habari za mihangaiko ya kutwa nzima.
Napenda kuwasilisha mada yangu hapa mezani lengo lango niko serious kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.....
Ni kijana mwenye umri wa miaka 30 kwasasa nipo Dar Kigamboni niko na kazi yangu ila sitoitaja hapa kwa yule ambae yuko serious kama mimi ani pm tuzungumze maswali na majibu yote yatapatikana.
Zeruzeru yupo, vip tukuleteee
 
7dfe72f6b666de558bd075d1f1941216.jpg
[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom