Natafuta Mpenzi wa kula naye raha siku ya valentine

Natafuta Mpenzi wa kula naye raha siku ya valentine

Tambara Bovu

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2007
Posts
585
Reaction score
141
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali
 
Mr.President kasafiri au ??Pole, humpati mtu rudi tu kwa mzee .....
 
Mmh, kuna festiledi wawili humu??
King'asti naomba darubini ya utambuzi
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali

Ooooh my God, ni macho yangu au?????

Ngoja siku hiyo ifike, nitafanya juu chini angalau kwa dakika chache nije kuona hayo majaliwa ambayo unayo mpaka uwe tofauti na wanawake wengine.
 
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali

Katika hao walizi na madereza wako wapo wengi tu wenye sifa na uwezo ila ndoa yako vipi? NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
 
hivi kina babu seya bado wako lupango???napita tu
 
Munisijo usisemee mioyo ya wengine na usifurahie mie kuendelea kuwa mpwekeSaudari ni mimi mimi ila nimeona nitajifia bure kwa upweke wakati inawezekana kupata faraja. Kongosho ndio tuko wawili ila mie siingii sana kama mwenzangu.lakini nipo tangu zamani sana na nilimtangulia.yeye ni Firstlady 1. Ndetirima mie sina mume, mchumba, mpenzi ,king'asti, serengeti boy wala kidumu.nipo mpweke na ndio maana natafuta tulizo.
 
Munisijo usisemee mioyo ya wengine na usifurahie mie kuendelea kuwa mpwekeSaudari ni mimi mimi ila nimeona nitajifia bure kwa upweke wakati inawezekana kupata faraja. Kongosho ndio tuko wawili ila mie siingii sana kama mwenzangu.lakini nipo tangu zamani sana na nilimtangulia.yeye ni Firstlady 1. Ndetirima mie sina mume, mchumba, mpenzi ,king'asti, serengeti boy wala kidumu.nipo mpweke na ndio maana natafuta tulizo.

If that is the case, ngoja nijitoe muhanga wasiwasi wangu ni kugeuzwa babu Seya, kama utanihakikishia usalama then karibu PM....
 
Munisijo usisemee mioyo ya wengine na usifurahie mie kuendelea kuwa mpwekeSaudari ni mimi mimi ila nimeona nitajifia bure kwa upweke wakati inawezekana kupata faraja. Kongosho ndio tuko wawili ila mie siingii sana kama mwenzangu.lakini nipo tangu zamani sana na nilimtangulia.yeye ni Firstlady 1. Ndetirima mie sina mume, mchumba, mpenzi ,king'asti, serengeti boy wala kidumu.nipo mpweke na ndio maana natafuta tulizo.

hebu kuja kipande hii ya Yaeda tule raha ya Valentine........sina choyo.....tutashare......
 
mmmh ni FirstLady naemjua mimi au?
by the way unataka wa kike au wa kiume?
mimi nitaenda muhimbili kusaidia wagonjwa walotelekezwa mle
so unaweza kunijoin
 
Last edited by a moderator:
Naomba ninukuu hapa "uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14".....halafu naendelea kufikiria,
 
Ngoja nirudi

Una hela lakini?

Munisijo usisemee mioyo ya wengine na usifurahie mie kuendelea kuwa mpwekeSaudari ni mimi mimi ila nimeona nitajifia bure kwa upweke wakati inawezekana kupata faraja. Kongosho ndio tuko wawili ila mie siingii sana kama mwenzangu.lakini nipo tangu zamani sana na nilimtangulia.yeye ni Firstlady 1. Ndetirima mie sina mume, mchumba, mpenzi ,king'asti, serengeti boy wala kidumu.nipo mpweke na ndio maana natafuta tulizo.
 
zema 21 sijaona PM yako. @ Preta kwakweli asante ila sitafuti mtu wa jinsia yangu nataka mwanaume wa ukweli ili aniondolee upweke.
 
Kongosho sikusomi kabisa.sijasema namtafuta mtu wa kumpa raha bali nataka nipewe raha zote.sasa ukitaka nitumie hela zangu utakuwa umenipa raha au ndio utaniongezea stress? Mzalendo nikaribie wapi sasa?
 
Last edited by a moderator:
Ni PM basi??mimi niko tayari kukuondolea upweke wako....
zema 21 sijaona PM yako. @ Preta kwakweli asante ila sitafuti mtu wa jinsia yangu nataka mwanaume wa ukweli ili aniondolee upweke.
 
Back
Top Bottom