Natafuta Mpenzi wa kula naye raha siku ya valentine

Natafuta Mpenzi wa kula naye raha siku ya valentine

Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali
Hapo kwenye red inaonyesha ni mtu usiye jiamini.... Hata ningekuwa na nia ya kukupa hizo raha,ambazo huajaainisha interest zako kupunguza usumbufu maana wengine hoby zetu zinaweza kukushinda,,unapenda nikwambiee.....?
 
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali

Watu wanapotea jumla jumla...uzuri wakirudi wanarudi na habari njema...FirstLady karibu sana...kuna watu wako tayari kujiripua kama President amelaza damu siku muhimu ya valentine.
 
Owkay, nikikupeleka Bagamoyo utakubali?
hakuna shaka kongosho ila tu uniambie huko bagamoyo utaenda kunipa raha gani sio unanipeleka kushangaa majengo mie nlishayatembelea sana.nataka raha zoooooote muhimu
 
Ngoja nikuitie huyu
mzabzab eeeeeh, unahitajika haraka sana

hakuna shaka kongosho ila tu uniambie huko bagamoyo utaenda kunipa raha gani sio unanipeleka kushangaa majengo mie nlishayatembelea sana.nataka raha zoooooote muhimu
 
Last edited by a moderator:
Gefu nimeshasema nina sifa za ziada ambazo wengine hawana unadhani nitashindwa kujiamini kweli?ninachotaka ni kupata raha zote siku ya wapendanao ambozo raha hizo zitanifanya nijione nimekamilika kwa kiasi ninachojikubali.
 
hahaha.................Ndahani unanipa raha.asa kwanini usijilipue wewe tu tukale raha kwa siku nzima ya tar 14
 
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali

Vp nafasi imesha jaa mi nasubiri mwaliko wako tu mama wa kwanza
 
hakuna shaka kongosho ila tu uniambie huko bagamoyo utaenda kunipa raha gani sio unanipeleka kushangaa majengo mie nlishayatembelea sana.nataka raha zoooooote muhimu

I see nafasi adimu sana hii kuja huku PM inahusika hapa.
 
Festi ledi huyu yupogi, tena ndo alikuwepo kabla ya festiledi1. Ila anakujaga siku za uchaguzi tu.
FirstLady, kama ukikosa me wa kula nae hii siku na bajeti yako binafsi ikiruhusu, nna meno ya ziada. my :mwaaah: is out of town, mwaliko wako utaniepusha na simba mla watu Vin Diesel (nimeanza gutter politics, utajuuta)
Mmh, kuna festiledi wawili humu??
King'asti naomba darubini ya utambuzi
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli nimechoka kuwa mpweke kila mara hasa wakati huu wa msimu wa siku ya wapendanao , hivyo basi nami nahitaji mtu wa kuniliwaza katika siku hii tulivu ili moyo wangu utulie na nijihisi kuwa mwanamke kamili. Binafsi nimejaliwa sifa nyingi tu mpaka zile za ziada walizokosa wengine kwahiyo hutojutia muda wako kwangu.hakuna vigezo vyovyote cha muhimu uwe na uwezo wa kunipa raha zote za dunia hii siku ya tarehe 14.Thibitisha tafadhali

Ni PM namba yako ya simu niwe FIRST GENTLEMAN you have never seen or heard about.., fwanya fasta...
 
Mmh, nilistuka kuona festiledi anaomba kampani kwa mabazazi

HAta mie msinisahau in case bajeti itaruhusu

Festi ledi huyu yupogi, tena ndo alikuwepo kabla ya festiledi1. Ila anakujaga siku za uchaguzi tu.
FirstLady, kama ukikosa me wa kula nae hii siku na bajeti yako binafsi ikiruhusu, nna meno ya ziada. my :mwaaah: is out of town, mwaliko wako utaniepusha na simba mla watu Vin Diesel (nimeanza gutter politics, utajuuta)
 
Festi ledi huyu yupogi, tena ndo alikuwepo kabla ya festiledi1. Ila anakujaga siku za uchaguzi tu.
FirstLady, kama ukikosa me wa kula nae hii siku na bajeti yako binafsi ikiruhusu, nna meno ya ziada. my :mwaaah: is out of town, mwaliko wako utaniepusha na simba mla watu Vin Diesel (nimeanza gutter politics, utajuuta)

Sasa mbona umeanza kwenda kinyume na makubaliano yetu?......we have a trip to Sun City kesho.....umesahau?
Im the King of gutter politics,usikimbie tu.....
 
Last edited by a moderator:
DJ Imma ni PM wewe unieleze utanipa raha gani siku ya kesho na sio kupotezeana muda.me niko serious ati!
 
@ Fidel 80 nafasi bado ipo.hebu waeleze kidogo sifa zangu za nje unazozijua maana weye kidogo wanifahamu, na zile za ndani ataziona yule atakayepewa nafasi nami..naona kama watu wanasitasita hawajui kama wakinipa raha siku nzima ya tar 14, nao watakuwa na kumbukumbu nzuri sana ambayo hawataisahau katika maisha yao @ Ngosha Mz wee ni Pm ueleze jinsi utakavyonipa raha.ukinivutia utakuwa wewe.kumbuka staki stress @ Bongolala yaani mimi ndio niku PM?kweli huna nia wewe.mie namtaka mtu aliye tayari na sio kusukumana maana haitakuwa raha tena
 
Back
Top Bottom